Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅Safi, ila gharama! Mimi ningemshauri apige nyeto mbele yake, ili mke ajue kuwa hata mkono unatosha kuwa mke
Kocha ni mwisho aseeKama nakuona ulivyokuwa unasubiri kukuche upate mrejesho[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Ndio walivyo ndio maana hata Mimi Mara ya kwanza nilikua namsikiliza tu na kumuacha atoe sumu ila nilivyo ona anamwanga wa kusaidiwa ndio nikajiingiza. Ili hata akienda kusema namwambia wewe ndio ulikua unakuja kuniambia na kuomba msaada . Kwa hiyo tatizo linarudi kwake.Kuna jamaa yangu huyo ana changamoto kama hizo, unakaa nae kumpa mbinu akitoka hapo anarudi kwa shemej kulialia anakutajamo na mbinu ulizokuwa unampa yaan ni hatari.
Hii kweli kiasili wapo hivyo na usiombe akuone huna mbinu alafu unampenda atakayo kufanyia Hadi mama yako mzezi akiyasikia tumbo la uzazi linastuka [emoji38][emoji38]Nilipata tabu sana kufungua huu uzi nikifikiri ni yakawaida ila nimejifunza kitu hapa! Baba yangu alishawahi kuniambia kuwa wanawake ni madikteta ikiwezekana kila siku utafute njia mpya za kuishi naye wakati mwingine uchukie bila sababu.
AiseeeeKuna jamaa yangu huyo ana changamoto kama hizo, unakaa nae kumpa mbinu akitoka hapo anarudi kwa shemej kulialia anakutajamo na mbinu ulizokuwa unampa yaan ni hatari.