Mke ashirikiana na michepuko 4 ya mumewe kumuandalia "surprise" mume, adondoka na kuzimia siku ya Valentine

Mke ashirikiana na michepuko 4 ya mumewe kumuandalia "surprise" mume, adondoka na kuzimia siku ya Valentine

na quote: "Mwanaume mmoja huko Nairobi Kenya alifanyiwa surprise ya mwaka na mkewe akishirikiana na wanawake 4 anaotembea nao mumewe"
"Mume alipokuja na kuingia ndani warembo 3 wakaja wakitokea chumbani kuangalia ni michepuko yake pamoja na mkewe"

ukiwa muongo ukumbuke pia ulipoanza ulianzaje


hahahhaha.
 
na quote: "Mwanaume mmoja huko Nairobi Kenya alifanyiwa surprise ya mwaka na mkewe akishirikiana na wanawake 4 anaotembea nao mumewe"
"Mume alipokuja na kuingia ndani warembo 3 wakaja wakitokea chumbani kuangalia ni michepuko yake pamoja na mkewe"

ukiwa muongo ukumbuke pia ulipoanza ulianzaje


hahahhaha.
Walitangulia 3 wengine walikuwa hawajatokea bado ndipo akaanguka na kuzimia
 
Siwez Fanya Ujinga ule Mimi.
Kwanza kua na mahusiano kibao lAzima uwe ushajiandaa kwa plan B kikiumana mbele ya safari.

Ndo Maana nkasema jamaa Ni mzembe Sana,

KWAKIFUPI HAYUKO MATURED ktk kua multifunctional [emoji4]
Siku mwanachuo na dada yake wakijuana😜😜au ndo ushajipanga kwa plan b maana huyu wa kuzimia kakuzidi mmoja tu
 
Mwamba alikosa FURSA ya FIVESUM..!!
Kweli upele umpata asiye na Kucha..

#YNWA
 
Hiyo kama ile Maigizo ya Kenya Jumon aliwachanganya mademu kama wanne alipokwama akajifanya ana kifafa wakaona kesi wakakimbia ila alibakia mmoja tu
 
Siku mwanachuo na dada yake wakijuana[emoji12][emoji12]au ndo ushajipanga kwa plan b maana huyu wa kuzimia kakuzidi mmoja tu
Mi nishajiandaa kabisa na namna ya kuwakabili, all plans nishaweka KWENYE diary yangu.

Always huwa naangalia mbele[emoji4]
 
Bure kabisa yaani
Yaani..amechezea bahati sasa anajuta huko hospital...wee ebu imagine...8 boobs, matako nane na mbususu 4 alafu mtu anazimia baadala ya kuenjoy bahati ilioje
 
Mi nishajiandaa kabisa na namna ya kuwakabili, all plans nishaweka KWENYE diary yangu.

Always huwa naangalia mbele[emoji4]
Eti eeeh utanishtua na mie niongezeke tuwe watano najifanya mchepuko kumbe nakuibia siri zao
 
Back
Top Bottom