Walitangulia 3 wengine walikuwa hawajatokea bado ndipo akaanguka na kuzimiana quote: "Mwanaume mmoja huko Nairobi Kenya alifanyiwa surprise ya mwaka na mkewe akishirikiana na wanawake 4 anaotembea nao mumewe"
"Mume alipokuja na kuingia ndani warembo 3 wakaja wakitokea chumbani kuangalia ni michepuko yake pamoja na mkewe"
ukiwa muongo ukumbuke pia ulipoanza ulianzaje
hahahhaha.
Mwenyewe nimeshangaa ila nadhani ni makosa ya kiuandishi. Huenda ilikuwa 600 kshs.Hata kama hela ya Kenya iko juu kuliko ya Tz, ndiyo Ksh 60@4 tu? , ichangwe eti kununua mapochopocho, wakenya acheni hizo!!!
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Siku mwanachuo na dada yake wakijuana😜😜au ndo ushajipanga kwa plan b maana huyu wa kuzimia kakuzidi mmoja tuSiwez Fanya Ujinga ule Mimi.
Kwanza kua na mahusiano kibao lAzima uwe ushajiandaa kwa plan B kikiumana mbele ya safari.
Ndo Maana nkasema jamaa Ni mzembe Sana,
KWAKIFUPI HAYUKO MATURED ktk kua multifunctional [emoji4]
ok noted, uwe unamalizia storyWalitangulia 3 wengine walikuwa hawajatokea bado ndipo akaanguka na kuzimia
Bure kabisa yaaniKwa hiyo jamaa amekosa fivesome 😂😂😂😂😂
Mi nishajiandaa kabisa na namna ya kuwakabili, all plans nishaweka KWENYE diary yangu.Siku mwanachuo na dada yake wakijuana[emoji12][emoji12]au ndo ushajipanga kwa plan b maana huyu wa kuzimia kakuzidi mmoja tu
Yaani..amechezea bahati sasa anajuta huko hospital...wee ebu imagine...8 boobs, matako nane na mbususu 4 alafu mtu anazimia baadala ya kuenjoy bahati iliojeBure kabisa yaani
Eti eeeh utanishtua na mie niongezeke tuwe watano najifanya mchepuko kumbe nakuibia siri zaoMi nishajiandaa kabisa na namna ya kuwakabili, all plans nishaweka KWENYE diary yangu.
Always huwa naangalia mbele[emoji4]
Ha ha ha....Eti eeeh utanishtua na mie niongezeke tuwe watano najifanya mchepuko kumbe nakuibia siri zao
Kuelewa ni tatizo kubwa Sana. Hujasoma hiyo habari au?Walitangulia 3 wengine walikuwa hawajatokea bado ndipo akaanguka na kuzimia
Kshs 60=TZS 1200 mara 4=4,800,Hiyo haitoshi kufanya party,huu Uzi usikute ni chai!Hata kama hela ya Kenya iko juu kuliko ya Tz, ndiyo Ksh 60@4 tu? , ichangwe eti kununua mapochopocho, wakenya acheni hizo!!!
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app