klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
hapa unazidi kulikoroga, sasa unamuokoa mke wako akampe uroda tena huyo alomzalisha?, in this kesi kama hajazama vizuri huyo waif tu bii namzamisha mimi. asiongeze idadi ya wazembe duniani. naweza nikkamuonea huruma huyo mtoto kwakuwa hana kajikosaBahati mbaya waweza kuta kumbe hata huyo mtoto unayemwokoa si wako! I better save my wife!