Mke au Mtoto Wako Yupi wa Kumuokoa? Amuokoa Mkewe

Mke au Mtoto Wako Yupi wa Kumuokoa? Amuokoa Mkewe

kwa laifu la siku hizi bora angemuokoa mtoto. unaweza ukamuokoa mke halafu ndani ya mwezi mmoja akakupiga kibuti. hapa naweza nikapata mashambulizi kutoka jinsia inayovaa sketi na blauzi!
Acha kukurupuka ndugu,hii habari inaonyesha kuwa mtoto alikuwa ktk mazingira yasiyoweza okoleka,hivyo angehangaika na mama naye angekufa na isitoshe familia nzima bora hiyo,kuhusu kibuti huwezi pigia hesabu kama upo kwenye ndoa,sawa na mtu anayefanya biashara anajua kuwa hasara hutokea,lakini mara zote hulenga faida!!
 
Acha kukurupuka ndugu,hii habari inaonyesha kuwa mtoto alikuwa ktk mazingira yasiyoweza okoleka,hivyo angehangaika na mama naye angekufa na isitoshe familia nzima bora hiyo,kuhusu kibuti huwezi pigia hesabu kama upo kwenye ndoa,sawa na mtu anayefanya biashara anajua kuwa hasara hutokea,lakini mara zote hulenga faida!!

pointi lako limetulia greti thinka. nimekugongea senks. lakini naokoa mtoto!
 
Back
Top Bottom