Mke au Mtoto Wako Yupi wa Kumuokoa? Amuokoa Mkewe

Bahati mbaya waweza kuta kumbe hata huyo mtoto unayemwokoa si wako! I better save my wife!
hapa unazidi kulikoroga, sasa unamuokoa mke wako akampe uroda tena huyo alomzalisha?, in this kesi kama hajazama vizuri huyo waif tu bii namzamisha mimi. asiongeze idadi ya wazembe duniani. naweza nikkamuonea huruma huyo mtoto kwakuwa hana kajikosa
 
hata mimi ningefanya hivi kama Masa. Hivi wake zetu si washikaji tu?

Inategemea n'tu na n'tu! My wife is more than mshikaji! Mtoto tutapata mwingine bana! Mi ntamwokoa wife!
 
Unaweza kuta huyo mke wako ni mke wa kila mtu I mean choo cha stand ya mabasi!

Lakini mwisho wa siku anakuja kwangu siyo? Hahaha! Then I better save myself! LOL!
 
kwa kweli huu hapa ni pagumu wote ni muhimu sana maishani mwangu. na ninawapenda kupita kiasi hivyo nitawaokoa wote no matter sijui kuchagua mmoja,
 
i love my wife, lakini sorry,...nitaokoa MWANANGU.
 
bht ni mbabaishaji amekimbia nyundo hapa.....amehisi blood could spread all over hahahahahahah watu wana mikwara balaaa

asante ka kompliment Masa.....simwogopi yeyote (except God) hapa natoa mawazo yangu wala sisukumwi na mtu kufanya hivo....sasa hiyo mikwara unayoizungumzia hapa siilewi au kama ile ya Bluray jana
 
asante ka kompliment Masa.....simwogopi yeyote (except God) hapa natoa mawazo yangu wala sisukumwi na mtu kufanya hivo....sasa hiyo mikwara unayoizungumzia hapa siilewi au kama ile ya Bluray jana

Nimekuhamishia mikwara ya jana kwako! Watch out.....there will be blood in JF hahahahahahahahah

Hutakiwi kuogopa mtu tetea unachojua, by the way hata biblia ina sema nanukuu

"After these things the word of the LORD came to Abram in a vision, saying, "Do not be afraid, Abram. I AM your shield, your exceedingly great reward."
Genesis 15:1

Kwenye biblia neno usiogope limeandikwa mara 366, unaweza google pia, kwa maana hiyo usiogope daima maana kila siku kuna mstari usiogope.


JIbu swali kwanini unafata upepo? Stand up be urself, and shout with reasons
 
Teh teh teh nimegundua wewe ni mbinafsi sana kibluray ...you're egocentric!

Hehehe! Acha niwe hivyo kuliko kumsevu mtoto haramu na mke mgawaji! I will save myself!
 
kwani kaka wewe unafuasia wapi?

Angalia nilivyojieleza hapa chini, then utaelewa nilikuwa namaanisha nini

 
Angalia nilivyojieleza hapa chini, then utaelewa nilikuwa namaanisha nini
kaka hii imekaa kifilosofia zaidi inahiatji tafakuri ya kina kabla ya kujump in.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…