Mke au Mume ni ufunguo wa maisha

Mke au Mume ni ufunguo wa maisha

Inategemeana wengine ukiingia tu mambo yako yote yanakufa utafukuzwa kazi biashara zitakufa utafilisika nk.
Au utabalikiwa akiwa na kibali utapata KAZI,mali, utajiri, furaha na amani
 
Hii ni tafsi yako tu chief..kuna funguo za kuzima man ,hujawahi kuzisikia??
kitu kibaya ni makosa kutumia funguo na ukitumia neno funguo ni makosa kama ambavyo watu husema mwanaume akifiwa mke ni mgane,ni makosa mwanaume au mwanamke akifiwa ni wajane tu hakuna mgane lakini watubwanatumia mgane
 
Back
Top Bottom