Binti Sayuni03
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 1,075
- 1,913
Hakika mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀Tuliambiwa elimu ndiyo ufunguo wa maisha Leo tena mnasema mke na mume kwamba kufuli la maisha limebadilishwa au???
Mbon mnatuchanganya wasaka tonge
Mdada wa mjini umuoe bila msafara wa matalumbetaMke au Mume ni ufunguo wa maisha,hivyo msidanganye,vijana wa kiume na wa kike oaneni na sio lazima mfanye sherehe
azizi kFunguo ukiwa unafungua kila mlango unaitwa master key, ila mlango ukiwa unafunguliwa na kila funguo unaitwa...... tuanzie hapo
gari?Mleta mada kama umeoa (umepata funguo), na hauna hata gari, itakuwa umebadilishiwa kitasa