fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Wanandoa mke au mumeo sio adui,huyo ndio rafiki yako,mwandani wako,msaidizi wako,kiburudisho wako,mnalala uchi,mna share liquids zenu ama kwa mdomo au kwa nyuchi zenu,na miongoni mwenu mnameza milenda na uji mzito mweupe,sasa ugomvi wa nini?,
Kutokuaminiana kunatoka wapi? ,vita vya nini,hofu ya nini.Tulieni,kuleni raha,mzeeke pamoja na mzikane kwa kusomeana tanzia.
Kutokuaminiana kunatoka wapi? ,vita vya nini,hofu ya nini.Tulieni,kuleni raha,mzeeke pamoja na mzikane kwa kusomeana tanzia.