fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Sawa,ni uhuru wako kutoa maoniSijapenda
Video inayoonesha nini?
watu wananishinda? kwa ushahidi wa kuhesabunau kukisia?.Sawa japo wananishinda au laa,siwezi kuacha kutoa maoni yangu ambayo mimi nayaamini,kwani siyatoi kushindana na watu,bali kushawishi,na ushawishi sio kazi rahisiUna nadharia nyingi kaka
Ila watu watakushinda kwa ukweli unao endelea hapa duniani
Napokea maoni kwani yanazudi kunijenga mimiMTOA MADA UPO SAHIHI KABISA, NA HILO NDILO LENGO AMBALO KILA MWANANDOA ANAKUWA NALO KABLA YA KUINGIA KWENYE NDOA NA HATA ZILE SIKU ZA MWANZO WA NDOA HUWA HIVYO YAANI HIVYO TU... SEMA KUNA NDOA INAYOKUJA KUENDELEA BAADA YA MIAKA MITANO MBELENI HUKO AISEE LAZIMA MJIKUTE MNATOKA TU AUTOMATICALLY KWENYE HAYO ULIYOYAANDIKA... LEAVE IT OR TAKE IT
PoleUmenifanya nimeanza kupata majonzi, daah!
ntafurahi ukielezea hivyo vya kutegemeanaInategemeana
✌️ntafurahi ukielezea hivyo vya kutegemeana
Video ioneshe nn sasa
Wewe mimi nina wake 2 na am 64 yrs old broNaona ndiyo umeoa juzi kijana yaani umeingia kwenye mfumo wa matapeli
Ngoja utakuja kulia hapa