goggles
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,415
- 2,358
Wanasema hakuna marefu yasiyo na ncha. Ni takribani 5yrs imepita tangu nifiwe na marehemu mke wangu. Mara baada ya mama watoto wangu kufariki nilikuta nimeingia katika mapenzi na mama mmoja ambae nilidumu nae kwa miaka miwili. Mama huyo tuliachana kwa sababu zisizozuilika
Mwaka 2018 niliamua kupima afya ili nioe, ajabu nilibainika kuwa na maambukizi ya virusi vya ukimwi. Nilivyogundulika na ugonjwa huo niliamua nisioe. Lakini kadri siku zinavyoenda nimebaini kuna umuhimu wa kuwa na mke. Na hii imetokana pia na ushauri na Dr ambae ni rafiki yangu wa karibu.
Umri wangu ni miaka 48 hivyo mke atakekuwa tayari kuolewa na mimi pia awe na umri wa miaka 40+ (mtu mzima).
Kwa sasa nimepata uhamisho nahamia mkoa wa Mara mda wowote, ambapo pia na mimi ni mzaliwa wa mkoa wa Mara hivyo nikimpata mke wa mkoa wa Mara itapendeza zaidi.
Masharti ya mke ninaemhitaji pamoja na umri niliyoutaja hapo juu lakini pia awe ni mtumishi wa idara yoyote au awe ni mjasiliamali.
Kwa maongezi zaidi ni-PM tupeane mawasiliano.
Nawasilisha tafadhari
Mwaka 2018 niliamua kupima afya ili nioe, ajabu nilibainika kuwa na maambukizi ya virusi vya ukimwi. Nilivyogundulika na ugonjwa huo niliamua nisioe. Lakini kadri siku zinavyoenda nimebaini kuna umuhimu wa kuwa na mke. Na hii imetokana pia na ushauri na Dr ambae ni rafiki yangu wa karibu.
Umri wangu ni miaka 48 hivyo mke atakekuwa tayari kuolewa na mimi pia awe na umri wa miaka 40+ (mtu mzima).
Kwa sasa nimepata uhamisho nahamia mkoa wa Mara mda wowote, ambapo pia na mimi ni mzaliwa wa mkoa wa Mara hivyo nikimpata mke wa mkoa wa Mara itapendeza zaidi.
Masharti ya mke ninaemhitaji pamoja na umri niliyoutaja hapo juu lakini pia awe ni mtumishi wa idara yoyote au awe ni mjasiliamali.
Kwa maongezi zaidi ni-PM tupeane mawasiliano.
Nawasilisha tafadhari