kwanini umeamua kuthibitisha kwamba kila antibidies fabrication ni antigen wa HIV,mwili unaproduces antibodies kwa antigen wa aina tofauti ndio mana kipimo kinasoma +ve means ndani ya mwili kuna reaction lakini hiyo reaction imesababishwa na nini ndio maana kuna vipimo vya TB,HEPATITIS,MALARIA,PNEOMUNIA NK.jiulize kwanini waja wazito wengi wakienda clinic hukutwa +ve while wakati hawako pregnance waliokua -ve hii ni kwasababu maranyingi miili yao hu-produce antibodies kipindi hiki,na ndio hawa matapeli wengi hupend kupitisha uongo wao kupitia waja wazito.