Kama kichwa cha habari kinavyosema nahitaji mwanamke aje kuwa mke wangu wa maisha mwenye hali kama yangu.
*Sifa zangu ni..
1. Mwajiriwa na nimejiajiri ili kuongeza kujikimu zaidi.
2. Mrefu wa wastani
3. Rangi maji ya kunde.
4. Umri miaka 29.
5. Elimu chuo kikuu.
*Mwanamke/Mke ninaye-muhitaji
1. Mrefu wastani/umbo la wastani
2. Awe mtafutaji
3. Umri 20-31
4. Asiwe na mtoto
5. Awe mwelewa na mwerevu.
6. Mcha Mungu
7. Elimu form 4 na kuendelea
Karibu P.M kwa mwenye utayari na uhitaji wa mume tuanze maisha yetu mapya.
*Sifa zangu ni..
1. Mwajiriwa na nimejiajiri ili kuongeza kujikimu zaidi.
2. Mrefu wa wastani
3. Rangi maji ya kunde.
4. Umri miaka 29.
5. Elimu chuo kikuu.
*Mwanamke/Mke ninaye-muhitaji
1. Mrefu wastani/umbo la wastani
2. Awe mtafutaji
3. Umri 20-31
4. Asiwe na mtoto
5. Awe mwelewa na mwerevu.
6. Mcha Mungu
7. Elimu form 4 na kuendelea
Karibu P.M kwa mwenye utayari na uhitaji wa mume tuanze maisha yetu mapya.