pumbatupu
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 256
- 82
WanaJF kama kawaida hii ndio kona yetu ya kubadilishana mawazo. Leo kuna jamaa yangu yamemkuta makubwa..Ni hivi: Anaye mke wake mjamzito wameishi pamoja sasa karibu miaka mitano.Mwanzoni mwa ndoa yao kiukweli jamaa yangu alikuwa hajatulia, waliendelea kuzinguana hivyo mpaka juzi kati nadhani mwezi wa nne ambapo jamaa yangu aliamua ku'confess' mabaya yote ambayo aliyafanya na kwa kweli bila kutegemea mke wake alimsamehe na kumuahidi upendo ilimradi tu yasijitokezee tena.Na jamaa yangu alimuombia mkewe ku'confess' kama alishawahi kumtenda..lahaulah..lakwata hapo ndo jamaa kabaki hoi bin taaban. Yaan mke wake huku akilia alimuambia kuwa ..aliamua kutembea na jamaa yake wa zamani baada ya kuona mshkaj anamzingua na hana uhakika kama hata hiyo mimba kama ni yake maana aki-backdate tarehe zinagongana na zile alizodate na Jamaa wa nje??..Amemuomba mume wake wasameheane waendelee kama kawaida..kwamba mbona yy kamsamehe..mshkaj kamuambia subiri....
jamaa kaja kuniomba ushauri..na mimi naomba kuwashirikisha wanaJF tumshaurije huyu mkuu??
jamaa kaja kuniomba ushauri..na mimi naomba kuwashirikisha wanaJF tumshaurije huyu mkuu??