Mke kumuhadithia mwanaume baki madhaifu ya mume

Hahhahahahha hapo lazima abembelezwe huku kalazwa kifuani na baada ya hapo wanahamia lodge. Halafu jamaa anaanza kumsifia “mtoto mtamu kama wewe huyo fala anaanzaje kukufoke”.
Mtoto mtam kama wewe unakosaje kuzama pm yangu😄! Achana na yule pimbi njoo hapa Wisters Tuinjoy
 
Kwa haraka haraka kuja huku sio km sina hints ni vile pia nataka nisihukumu haraka nipate expisure

Usiwe na negatives ideas tu
Mfano unatarajia kupata exposure gani?
 
Sasa kama kimoko chali ndani ya sekunde asihadithie kwanini?
 
Mtoto mtam kama wewe unakosaje kuzama pm yangu😄! Achana na yule pimbi njoo hapa Wisters Tuinjoy
Na vile hamna neno la kukataa kwenye kamusi yangu wewe tulia hapo hapo nafika hapo chap.
 
Apo unakuta wapo kwenye Sita kwa Sita wanashenyentana🤣Tena wanakutukania wazazi wako 🤣pumbafu kabsa handle such small things
 
Umejuaje kama huwa anamsimulia huyo mfanyakazi mwenzake?
Wewe mwenyewe ulimpendea huo umbea wake.
 
Hii ipo sana tu kwa wanawake wapumbavu, mara oh mume wangu ana kidogo kinaishia mashavuni sioni raha ya penzi, mara oh mume wangu hajui mapenzi na upuuzi mwingine anamuelezea danga lake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…