Mke kwaajili ya staff mwenzangu

Mke kwaajili ya staff mwenzangu

Status
Not open for further replies.
Wasalaam,

Watanzania wenzangu nakuja mbele yenu kwa ajili ya ombi hili la kumkuwadia(lobbying) kwa ajili ya huyu staff mwenzangu.
Walioko mtandaoni ni wale wale walioko huko mtaani.
Sifa za mtafuta mke
1. Miaka 35
2. Anaishi Dar es Salaam - Kigamboni
3. Ni muajiriwa katika Agency mojawapo ya Serikali
4. Elimu - Masters
5. Aliwahi kuishi na mwanamke na ana mtoto mmoja wa kike 6 years.
6. Sio mlevi, hanywi pombe kabisa.

Mwanamke anayemtaka
1. Mkristo
2. Awe anaishi Kigamboni
3. Umri 24 - 33
4. Akiwa na mtoto mmoja (Single parent) sio tatizo
5. Awe mfanyakazi au mfanyabiasha
6. Asiwe mlevi

Tafadhali njoo PM kwa walio serious tu.
Wanakuja
 
Jamaa anatafuta mke kama dhahabu. Huko Kigamboni haoni wanawake mpaka atafute huku? Mwambie kama hajui hawa wanaoandika huku wengine wako hukohuko Kigamboni..

Domo zege? Basi nshaelewa.. mkuu acha uzembe na kuzusha kutumia ujanja wa kizamani eti "staff mwenzako"

Staff mwenzako ni wewe, acha ukumbaf basi..

Yani staff mwenzako atafute mke, ila aliye interested aingie kwenye inbox yako...?
Hili ni jukwaa la Love Connect, huyu si wa kwanza kuleta uzi wa namna hii.
Mbona una hasira naye au unamfahamu?

Wewe sio domo zege unafanya nini humu?
Mbona unashindwa kuelewa maana ya Social forums.
 
Wasalaam,

Watanzania wenzangu nakuja mbele yenu kwa ajili ya ombi hili la kumkuwadia(lobbying) kwa ajili ya huyu staff mwenzangu.
Walioko mtandaoni ni wale wale walioko huko mtaani.
Sifa za mtafuta mke
1. Miaka 35
2. Anaishi Dar es Salaam - Kigamboni
3. Ni muajiriwa katika Agency mojawapo ya Serikali
4. Elimu - Masters
5. Aliwahi kuishi na mwanamke na ana mtoto mmoja wa kike 6 years.
6. Sio mlevi, hanywi pombe kabisa.

Mwanamke anayemtaka
1. Mkristo
2. Awe anaishi Kigamboni
3. Umri 24 - 33
4. Akiwa na mtoto mmoja (Single parent) sio tatizo
5. Awe mfanyakazi au mfanyabiasha
6. Asiwe mlevi

Tafadhali njoo PM kwa walio serious tu.
Hawezi kutongoza huyo rafiki yako?
 
Wasalaam,

Watanzania wenzangu nakuja mbele yenu kwa ajili ya ombi hili la kumkuwadia(lobbying) kwa ajili ya huyu staff mwenzangu.
Walioko mtandaoni ni wale wale walioko huko mtaani.
Sifa za mtafuta mke
1. Miaka 35
2. Anaishi Dar es Salaam - Kigamboni
3. Ni muajiriwa katika Agency mojawapo ya Serikali
4. Elimu - Masters
5. Aliwahi kuishi na mwanamke na ana mtoto mmoja wa kike 6 years.
6. Sio mlevi, hanywi pombe kabisa.

Mwanamke anayemtaka
1. Mkristo
2. Awe anaishi Kigamboni
3. Umri 24 - 33
4. Akiwa na mtoto mmoja (Single parent) sio tatizo
5. Awe mfanyakazi au mfanyabiasha
6. Asiwe mlevi

Tafadhali njoo PM kwa walio serious tu.
Hapa hakuna penzi unatafuta spea kama spea za magari
 
Jamaa anatafuta mke kama dhahabu. Huko Kigamboni haoni wanawake mpaka atafute huku? Mwambie kama hajui hawa wanaoandika huku wengine wako hukohuko Kigamboni..

Domo zege? Basi nshaelewa.. mkuu acha uzembe na kuzusha kutumia ujanja wa kizamani eti "staff mwenzako"

Staff mwenzako ni wewe, acha ukumbaf basi..

Yani staff mwenzako atafute mke, ila aliye interested aingie kwenye inbox yako...?
Kama wewe ni mwanaume basi una tabia za kike.

Kama ni mwanamke endelea na hizo stress zako.
 
Kama wewe ni mwanaume basi una tabia za kike.

Kama ni mwanamke endelea na hizo stress zako.
Na wewe kama ni mwanaume basi una tabia za kishoga...

Na kama ni mwanamke basi endelea kudanga na waume za wanawake wenzio..
 
Hili ni jukwaa la Love Connect, huyu si wa kwanza kuleta uzi wa namna hii.
Mbona una hasira naye au unamfahamu?

Wewe sio domo zege unafanya nini humu?
Mbona unashindwa kuelewa maana ya Social forums.
Mleta mada kanielewa na kunishukuru, wewe nini kinakuwasha?
 
Mbona hasira sana?
Umekula usiku? Haya choma dawa ya mbu ulale imbecile. [emoji28]
Ukishampata huyo kondoo bwege, ndio utajua kwanini dunia ni tambara bovu... unatafuta bwana kwa tiketi ya uwakilishi... mbegelez...
 
Duh! Huu ulevi wangu umenikosesha mume![emoji848]
 
Wasalaam,

Watanzania wenzangu nakuja mbele yenu kwa ajili ya ombi hili la kumkuwadia(lobbying) kwa ajili ya huyu staff mwenzangu.
Walioko mtandaoni ni wale wale walioko huko mtaani.
Sifa za mtafuta mke
1. Miaka 35
2. Anaishi Dar es Salaam - Kigamboni
3. Ni muajiriwa katika Agency mojawapo ya Serikali
4. Elimu - Masters
5. Aliwahi kuishi na mwanamke na ana mtoto mmoja wa kike 6 years.
6. Sio mlevi, hanywi pombe kabisa.

Mwanamke anayemtaka
1. Mkristo
2. Awe anaishi Kigamboni
3. Umri 24 - 33
4. Akiwa na mtoto mmoja (Single parent) sio tatizo
5. Awe mfanyakazi au mfanyabiasha
6. Asiwe mlevi

Tafadhali njoo PM kwa walio serious tu.
Mkuu hata wanawake wafupi anachukua?
 
Jamaa anatafuta mke kama dhahabu. Huko Kigamboni haoni wanawake mpaka atafute huku? Mwambie kama hajui hawa wanaoandika huku wengine wako hukohuko Kigamboni..

Huoni kuwa kwa kufanya hivyo hata sisi tulioko Nanjilinji huku tunapata nafasi ya kuweza kuwa mke wa huyo jamaa wa Kigamboni? Nadhani hii ni njia nzuri zaidi kuliko ya kujifungia wigo wa kijiografia.
 
Huoni kuwa kwa kufanya hivyo hata sisi tulioko Nanjilinji huku tunapata nafasi ya kuweza kuwa mke wa huyo jamaa wa Kigamboni? Nadhani hii ni njia nzuri zaidi kuliko ya kujifungia wigo wa kijiografia.
Kama umesoma vizuri masharti yake, mke atafutwaye ni lazima awe anaishi Kigamboni... au kasha-edit?

Wewe kaka wewe, unafaa kuwa mke wangu wa pili. Au unaonaje?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom