Mke kwenda kujifungulia kijijini, huu ni uchawi

Mke kwenda kujifungulia kijijini, huu ni uchawi

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Mjini ndiko kwenye huduma bora za afya halafu unataka mkeo akajifungulie kijijini ambako huko huduma za afya ni duni. Miundombinu sio rafiki, maji safi na salama hakuna.

Unampeleka huko ili mtoto akizaliwa kitovu chake kichukuliwe na kuungamanishwa na mashetani. Huu ni ushetani daraja la kwanza.

Mambo mengine hayana maana, mkeo akipata changamoto anakimbizwa tena mjini. Hebu tubadilikeni.
 
Wengine hawana lolote
Wanaogopa zile adha za Ujauzito
Mambo ya Kuamshwa Saa 8 za usiku 'Mume wangu nipeleke sheli nataka Harufu ya petrol
Duh mke wangu kwani, Unazaa Bodaboda???

Enewei kama ni kufata Care ya Mama ni heri huyo mama Akaletwa mjini ili kwenda bega kwa bega na mama mjamzito
 
Mjini ndiko kwenye huduma bora za afya halafu unataka mkeo akajifungulie kijijini ambako huko huduma za afya ni duni. Miundombinu sio rafiki, maji safi na salama hakuna.

Unampeleka huko ili mtoto akizaliwa kitovu chake kichukuliwe na kuungamanishwa na mashetani. Huu ni ushetani daraja la kwanza.

Mambo mengine hayana maana, mkeo akipata changamoto anakimbizwa tena mjini. Hebu tubadilikeni.
Ilikua zamani sahz vitovu tuna discard toilet tu.
Ila akuna uchawi mbaya kama mtu akurogee kitovu😃😃 utaimba haleluya amina
 
Ilikua zamani sahz vitovu tuna discard toilet tu.
Ila akuna uchawi mbaya kama mtu akurogee kitovu😃😃 utaimba haleluya amina
Ndio maana tunakataa msipeleke wake zenu kuzalia vijijini, halafu vitovu vya watoto wote anavitunza shangazi. Anakaa kutwa nzima akiwaroga na kuwaharibia maisha
 
Wengine hawana lolote
Wanaogopa zile adha za Ujauzito
Mambo ya Kuamshwa Saa 8 za usiku 'Mume wangu nipeleke sheli nataka Harufu ya petrol
Duh mke wangu kwani, Unazaa Bodaboda???

Enewei kama ni kufata Care ya Mama ni heri huyo mama Akaletwa mjini ili kwenda bega kwa bega na mama mjamzito

Ndio maana tunakataa msipeleke wake zenu kuzalia vijijini, halafu vitovu vya watoto wote anavitunza shangazi. Anakaa kutwa nzima akiwaroga na kuwaharibia maisha
Sahihi naunga mkono ✔️✔️✔️ wanaoharibu future za watoto ni hawa hawa ndugu tunaowaamini
 
Unajua kichanga huwa kinachangamoto nyingi sana,hvyo ni vizuri kikawa karibu na watu wazoefu kwa zile siku za mwanzo,pia mzazi anahitaji care ambayo pia inatakiwa kutolewa na watu wazoefu kama mama mkwe

Na hii kazi ya kucare kichanga na mzazi,mama mkwe ataifanya vizuri zaidi akiwa kwenye mazingira yake ya huko kijijini maana kuna dawa za kumuweka vizuri mzazi ambazo zitamsaidia haraka tofauti na za hospitali zilizo expire kama zile za tabora,pia kuna dawa za michango kwa kichanga

Usikatae asili yako p i m b i wewe
 
Naona sawa wapelekwe tu uko vijijini.
Mke wangu mimba ilipofika miezi 5 nikampeleka kwako uko mpala kyala ,nyumbani nilibaki kwa raha sana narudi muda ninaotaka mimi,pombe nakunywa ninavyojisikia,no kelele
Mshikaji, kweli hauko huru na ndoa yako, wala hauko huru na maisha yako. Ukikosa furaha, uhuru wa kweli na amani kwenye ndoa yako, wewe utakuwa ni mtumwa wa ndoa na sonona itakusumbua sana
 
Sio kweli,
Lengo kumpeleka kijijini kua karibu na wazazi wazoefu wa mambo ya uzazi

Mjini Hapa harakati nyng,
Uanze kunambia niamke nimkande mjamzito, huu Ni mtihani Sana mzee mwenzangu.
Kwanini hao wananzengo usiwalete mjini? Wewe mbona uliruhusu mama j amlete shangazi yake kuombewa, yeye akaanza kuleta waganga?
 
Kwanza MKE akishajifu gua akaenda kwao mkoani/kijijini likizo ya uzazi mpk apone inatoa fursa ya wewe kuendelea kuchepuka bila changamoto Sana.

Maana tunajua jela ya kimapenzi tunayopitia wanaume MKE akishajifungua

Kuna almost miez 2 Hadi 6 ya kukosa unyumba kutegemea na aina ya alivojifungua.
 
Back
Top Bottom