Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #121
Nini lililokuwa lengo la swali lako la kwanza?Nimeoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini lililokuwa lengo la swali lako la kwanza?Nimeoa
Maana huelewekagi kila siku unaenda kutoa posa.Nini lililokuwa lengo la swali lako la kwanza?
Mke hawezi kuwa mali. Mke ni mtu. Mke wangu ndugu walimuhudumia hapa hapa kwangu. To yeye/ Evelyn Salt / mama D/ Mama Debora / Miss Natafuta anakuwaje mali ya ukoo wangu kosa mahari niliyotoa?Maana ameshaolewa kwenu ni Mali yenu Sasa mlishatoa mahari
Wacha so To yeye ni nesi sikuhizi ni Mali yenu penda usipendeeMke hawezi kuwa mali. Mke ni mtu. Mke wangu ndugu walimuhudumia hapa hapa kwangu. To yeye/ Evelyn Salt / mama D/ Mama Debora / Miss Natafuta anakuwaje mali ya ukoo wangu kosa mahari niliyotoa?
🙏 sahihiMke hawezi kuwa mali. Mke ni mtu. Mke wangu ndugu walimuhudumia hapa hapa kwangu. To yeye/ Evelyn Salt / mama D/ Mama Debora / Miss Natafuta anakuwaje mali ya ukoo wangu kosa mahari niliyotoa?
Mke hawezi kuwa mali. Mke ni mtu. Mke wangu ndugu walimuhudumia hapa hapa kwangu. To yeye/ Evelyn Salt / mama D/ Mama Debora / Miss Natafuta anakuwaje mali ya ukoo wangu kosa mahari niliyotoa?
Wewe ni mke wetu tuna haki na wewe. Hayo mambo hata Wamasai wameacha sasaHAIWEZEKANI!!!!!
Ati wanakuja ndugu zako wanaume wanamwambia mke wetu tupatie hiki tupatie kile
Ndio hapa wanaume mnaishia kusema sina haja ya DNA sababu wanangu wote nafanana nao kumbe na wewe unafanana na ndugu zako
Mzaha mzaha hutumbua usaha - wahenga
AiseeeWengine hawa hapa
Familia iliyotembea uchi yasema "TUNATII MIZIMU"
Familia Iliyotembea Uchi wa Mnyama ‘Tunatii Mizimu’ Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Bakari Msulwa amelazimika kuitembelea familia ya Seleman Mpange, mkazi wa Kijiji cha Lukulunge Kata ya Mvuha Mkoani humo baada ya Familia hiyo ya Watu 8 kuzua taharuki kwa kutembea wakiwa hawana nguo (kama...www.jamiiforums.com
Inategemea kijiji chenu kiko wapi. Kwa mfano sisi kijiji chetu ndio kijiji ilipo hospitali ya KCMC.Mjini ndiko kwenye huduma bora za afya halafu unataka mkeo akajifungulie kijijini ambako huko huduma za afya ni duni. Miundombinu sio rafiki, maji safi na salama hakuna.
Unampeleka huko ili mtoto akizaliwa kitovu chake kichukuliwe na kuungamanishwa na mashetani. Huu ni ushetani daraja la kwanza.
Mambo mengine hayana maana, mkeo akipata changamoto anakimbizwa tena mjini. Hebu tubadilikeni.
Tunaongelea majority mkuu, wengine vijiji vyao viko USA 🇺🇸Inategemea kijiji chenu kiko wapi. Kwa mfano sisi kijiji chetu ndio kijiji ilipo hospitali ya KCMC.
Haukuwa specific mkuu. Umeongea too generalTunaongelea majority mkuu, wengine vijiji vyao viko USA 🇺🇸
Sasa mazingira yako ndio yana justify mazingira yetu wote?Haukuwa specific mkuu. Umeongea too general
Kwetu ni kijijini na mke wangu ataenda kujifungulia kijijini. Point yangu ni kwamba kijijini kwetu kuna hospitali nzuri kuliko mjini ninakoishi kwa sasa.Sasa mazingira yako ndio yana justify mazingira yetu wote?
For every rule, there is an exception. So you always follow the rule, except when there is an exception, in which case you follow a new rule based on that exception. Following this pattern always guarantees that you come to the right decisionKwetu ni kijijini na mke wangu ataenda kujifungulia kijijini. Point yangu ni kwamba kijijini kwetu kuna hospitali nzuri kuliko mjini ninakoishi kwa sasa.
Mazingira ya kijijini kwenu pia yana-justify mazingira yetu wote?