Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #101
Wengine hawa hapaNina watoto watatu, mambo ya matambiko niliyakataa long time. Yanakufanya uwe zezeta
Familia iliyotembea uchi yasema "TUNATII MIZIMU"
Familia Iliyotembea Uchi wa Mnyama ‘Tunatii Mizimu’ Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Bakari Msulwa amelazimika kuitembelea familia ya Seleman Mpange, mkazi wa Kijiji cha Lukulunge Kata ya Mvuha Mkoani humo baada ya Familia hiyo ya Watu 8 kuzua taharuki kwa kutembea wakiwa hawana nguo (kama...