Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #81
Mengine yapo hapahapa JFKwani hivi mashetani yapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mengine yapo hapahapa JFKwani hivi mashetani yapo?
Unajua hii concept ya mwanamke mkimya haimaanishi mwanamke asiongee kabisa ila aongee tu panapostahili na ajue kipi cha kuongea kwa wakati upi.Naomba niulize swali..nauliza tu. Wanaume mnapenda mwanamke mkimya?? Yani awe kimya kabisa no kuuliza, no what?? Mnajua expense ya ukimya lakin?? Bibi yangu alipoletewa mke mwenzake ndani hakuwezaga kuishi nae kwa sabbu ya visanga..kilichotokea akahama na watoto wake akaenda mahali pengine..ardhi nyingine ya babu na kulikuwa na nyumba huko hata kama si nzuri kama ile aliyoiacha pale pa mwanzo. Bibi hakua muongeaji yani watoto wake wanasema yeye ni shamba, nyumbani..akikaa hapo ni anaweza kaa masaa mawili hajasema chochote. Labda ile kutuma watoto basi..kilichotokea sasa..akaumwa ugonjwa wa moyo. Alianza na presha mwisho moyo umetanuka..na akapataga ugonjwa wa kuzimia tu..anazirai.
Kweli utapata mwanamke atakaa kimya hatakuhoji chochote..atafanya yale yanayotakiwa na kama ni kuumia ataumia ndani maana si hutaki akuulize chochote wala ahoji maana wewe ni mwanaume. Lakin nakuambia andaa pesa za kumtibu baadae..binafsi niko na mwenza wangu. Kuna nyakati naamuaga tu ngoja nisiseme chochote akosee apatie ni yeye. Nafanya majukumu yangu, namuheshimu kama mume wangu hata kama awe anakosea ninachowezaga ni kujifanya nasali..napiga magoti afu nalia sana kama vile nasali kwa Mungu ili ajue ninasali...lakin siwafichi..ndani nahisigi kabisa afya yangu ya moyo si salama na naishi kwa hofu ya kwamba kuna siku naweza kuja kuwa member pale JKCI. Yote haya ni nikae kimya mume apate amani kwamba mke wangu hanibugdhi, hana kelele lakini ndo ndani unaharibika little by little. Mwanamke asipoongea ajiandae, maana wanaume mnayo makwazo na wanawake pia tunayo makwazo. Tunaihitaji sana neema ya Mungu kuishi watu wawili tuliokutana ukubwani..bila Hekima tutafukuza upepo vibaya mno.
mWanamke ni kiumbe kinachozoea mazingira mageni haraka tofauti na unavyofikiriaKwanini mamamkwe asije mjini akawacare mama na mtoto huku?? Kwanza mara nyingi kumpeleka mama aliyejifungua ugenini unamuongezea na msongo wa mawazo maana anakuwa na upweke zaidi ya kichanga chake tuu anazungukwa na ndugu asiowazoea.
Akiwa uwanja wa nyumbani kwa mume wake atlist anakuwa na ile uhuru na amani ya moyo hata atarecover mapema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua hii concept ya mwanamke mkimya haimaanishi mwanamke asiongee kabisa ila aongee tu panapostahili na ajue kipi cha kuongea kwa wakati upi.
Shida ya wanawake wengi ambao wamekosa maadili au kulelewa na mama pekeyake wakalishwa sumu kuhusu baba zao katika mazingira mabovu huwa wana ile tabia ya ujuaji. Mwanamke anakuwa mropokaji yani hawazi anachoongea anafyatua mineno kama chizi. Intention yake ni wewe ukerekwe tu sababu ya kauli zake zisizo na staha. Mara nyingi wanawake wa hivi wanapenda ku contest/compete na waume zao mtajibizana mwishowe unamzaba kofi anyamaze.
Wanawake wa hivyo ndio kero. Jambo dogo la kuelekezana atalifanya ligi akujibize ilimradi unywee ajione anakuweza. Mwisho wa siku migogoro ndio inakuwa mtindo wa maisha.Naomba niulize swali..nauliza tu. Wanaume mnapenda mwanamke mkimya?? Yani awe kimya kabisa no kuuliza, no what?? Mnajua expense ya ukimya lakin?? Bibi yangu alipoletewa mke mwenzake ndani hakuwezaga kuishi nae kwa sabbu ya visanga..kilichotokea akahama na watoto wake akaenda mahali pengine..ardhi nyingine ya babu na kulikuwa na nyumba huko hata kama si nzuri kama ile aliyoiacha pale pa mwanzo. Bibi hakua muongeaji yani watoto wake wanasema yeye ni shamba, nyumbani..akikaa hapo ni anaweza kaa masaa mawili hajasema chochote. Labda ile kutuma watoto basi..kilichotokea sasa..akaumwa ugonjwa wa moyo. Alianza na presha mwisho moyo umetanuka..na akapataga ugonjwa wa kuzimia tu..anazirai.
Kweli utapata mwanamke atakaa kimya hatakuhoji chochote..atafanya yale yanayotakiwa na kama ni kuumia ataumia ndani maana si hutaki akuulize chochote wala ahoji maana wewe ni mwanaume. Lakin nakuambia andaa pesa za kumtibu baadae..binafsi niko na mwenza wangu. Kuna nyakati naamuaga tu ngoja nisiseme chochote akosee apatie ni yeye. Nafanya majukumu yangu, namuheshimu kama mume wangu hata kama awe anakosea ninachowezaga ni kujifanya nasali..napiga magoti afu nalia sana kama vile nasali kwa Mungu ili ajue ninasali...lakin siwafichi..ndani nahisigi kabisa afya yangu ya moyo si salama na naishi kwa hofu ya kwamba kuna siku naweza kuja kuwa member pale JKCI. Yote haya ni nikae kimya mume apate amani kwamba mke wangu hanibugdhi, hana kelele lakini ndo ndani unaharibika little by little. Mwanamke asipoongea ajiandae, maana wanaume mnayo makwazo na wanawake pia tunayo makwazo. Tunaihitaji sana neema ya Mungu kuishi watu wawili tuliokutana ukubwani..bila Hekima tutafukuza upepo vibaya mno.
Kama umepanga chumba kimoja au viwili huyo mama mkwe itakuaje?Wengine hawana lolote
Wanaogopa zile adha za Ujauzito
Mambo ya Kuamshwa Saa 8 za usiku 'Mume wangu nipeleke sheli nataka Harufu ya petrol
Duh mke wangu kwani, Unazaa Bodaboda???
Enewei kama ni kufata Care ya Mama ni heri huyo mama Akaletwa mjini ili kwenda bega kwa bega na mama mjamzito
Aisee mi nikipata Guiness Smooth tu basi roho yangu inatulia.Mkuu unatumia kinywaji gani mkuu?
Hiyo kitu naijua sana, tangu zamani zile za guiness stout beer hadi sass smooth. Mwanaume akinywa mkienda kwenye show, hakojoi kitu imesimama masaa mawiliAisee mi nikipata Guiness Smooth tu basi roho yangu inatulia.
😀😀😀😀😀 Kazi na dawa hioHiyo kitu naijua sana, tangu zamani zile za guiness stout beer hadi sass smooth. Mwanaume akinywa mkienda kwenye show, hakojoi kitu imesimama masaa mawili
Kama anakwenda kwa baba mkwe ni sahihi. Lakini kama anakwenda kujifungilia kwao Kuna walakini na familia Yao. Mtoto lazima azaliwe kwenye asili ya baba yake ili aweze kuungwa kwenye ukoo wa asili yake.Mjini ndiko kwenye huduma bora za afya halafu unataka mkeo akajifungulie kijijini ambako huko huduma za afya ni duni. Miundombinu sio rafiki, maji safi na salama hakuna.
Unampeleka huko ili mtoto akizaliwa kitovu chake kichukuliwe na kuungamanishwa na mashetani. Huu ni ushetani daraja la kwanza.
Mambo mengine hayana maana, mkeo akipata changamoto anakimbizwa tena mjini. Hebu tubadilikeni.
Nikiona umeagiza guineas, naagiza zangu amarula, tukamalizane vizuri. Sinaga show mbovu eti😀😀😀😀😀 Kazi na dawa hio
Mtoto anaungwaje kwenye ukoo? Naomba ufafanuziKama anakwenda kwa baba mkwe ni sahihi. Lakini kama anakwenda kujifungilia kwao Kuna walakini na familia Yao. Mtoto lazima azaliwe kwenye asili ya baba yake ili aweze kuungwa kwenye ukoo wa asili yake.
Kwa wale wanaofuata Mila za kiarabu ambazo mjomba ana maamuzi kwenye ukoo hawatanielewa
Aisee mi nikipata Guiness Smooth tu basi roho yangu inatulia.
Unataka kumfanya nini mwenzio umlevye hivyo?Embo njoo leo ukunywe ujigalagaze umeongea poa sna
Ukikua utajua. Sasa hivi endelea kula vihela vya Boom hapo chuoni na nyongeza ya mzazi anazokutumia, ukimaliza utakuta a na elimuu mtaa ndio akili itakukaa sawaMtoto anaungwaje kwenye ukoo? Naomba ufafanuzi
Nina watoto watatu, mambo ya matambiko niliyakataa long time. Yanakufanya uwe zezetaUkikua utajua. Sasa hivi endelea kula vihela vya Boom hapo chuoni na nyongeza ya mzazi anazokutumia, ukimaliza utakuta a na elimuu mtaa ndio akili itakukaa sawa
Unataka kumfanya nini mwenzio umlevye hivyo?
Kama anakwenda kwa baba mkwe ni sahihi. Lakini kama anakwenda kujifungilia kwao Kuna walakini na familia Yao. Mtoto lazima azaliwe kwenye asili ya baba yake ili aweze kuungwa kwenye ukoo wa asili yake.
Kwa wale wanaofuata Mila za kiarabu ambazo mjomba ana maamuzi kwenye ukoo hawatanielewa