Mke/Mchumba anahitajika

Ushauri wangu kwa wadada huku jf kuweni makini. Wapo wadada nina ushuhuda wao wamedungwa mimba na wanaume wa humu jf na wametelekezwa. Kila mmoja awe makini watu humu kuna watu na viatu .....
Ohoo mambo ndo yalivo kumbe
 
Wambie kabisa asiwe na mtoto.
 
Nielezeeni jamani maana ya kuwa open- minded.
Nisaidieni mwenzenu nielewe maana yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…