Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Mimi Siko hivyoo unavyoongea🤣🤣🤣makutafutia dili ujue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi Siko hivyoo unavyoongea🤣🤣🤣makutafutia dili ujue
Bila shaka katakuwa katamu sana kama jina lake apo,Mwamba kuna.chuma inaitwa Unique Flower itakufaa kembamba karefu halafu keupe katicha ka Kisutu girls, usiniulize nimekajuaje[emoji41]
ah wapi ni kwasababu wana pesaBabe nawapendaga maengineer wanaengineer hasa kule usiku kwenye Ile sekta
Kwa hyo we dada etu u ashindaga site za maengineerBabe nawapendaga maengineer wanaengineer hasa kule usiku kwenye Ile sekta
Naomba msamaha kwa niaba yao wote. 😅Mna matukio yakikatirii sana 😀
😂😂😂Sekta gani Tena jamniBabe nawapendaga maengineer wanaengineer hasa kule usiku kwenye Ile sekta
😀Wapi wakati nyie wengi zipu Huwa hazifungi vizurimainjinia wengi ni madomo zege nafikiri hesabu zimetuharibu sana ila nashukuru sana ndugu yangu kwa kunipigia pande
Hamna nyie nyie msiwasingizie wenzenumafundi mchundo hao labda
😀😀😀Ilikuaje hasa
Ohoo mambo ndo yalivo kumbeUshauri wangu kwa wadada huku jf kuweni makini. Wapo wadada nina ushuhuda wao wamedungwa mimba na wanaume wa humu jf na wametelekezwa. Kila mmoja awe makini watu humu kuna watu na viatu .....
Wambie kabisa asiwe na mtoto.Natafuta mke/mchumba;
1. Awe na miaka 25-36.
2. Awe amesoma atleast Degree na kuendelea (masterz, PhD).
3. Awe kajiajiri au muajiriwa.
4. Dini yeyoye na asiwe na misimamo mikali ya dini.
5. Awe mtu mwema na open minded.
6. Asiwe mwenyeji wa Singida,Manyara.
Mimi:
1. Nina degree ya Engineering.
2. Nimeajiliwa
3. Nina miaka 34.
4. Ni mkristo
Karibu tuwasiliane PM kwa hatua za awali
Watoto mnatupatia nyie wenyewe kwanini mnakuja kutukataa tukiwa nao?Wambie kabisa asiwe na mtoto.