Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa kila la heri kwenye kutafutaHao historia inawatesaa lakini sio wote wabaya najua wema wapo
naandika nondo hizo lakini naona kama unawaonea Mkuu kuna ishu ya maumbile makubwa upande wao kama sisi tulivyo na maumbile makubwa na tofautiHamna cha bahati nasibu mke mwema anaonekana tuu. Wee ukishakuta mwanamke breki pumbuz huyo kamwe hawezi kuwa mke mwema.
Hamna muoaji hapa, huyu ni tapeli kama matapeli wengine tu, maza fanta!Natafuta mke/mchumba;
1. Awe na miaka 25-36.
2. Awe amesoma atleast Degree na kuendelea (masterz, PhD).
3. Awe kajiajiri au muajiriwa.
4. Dini yeyoye na asiwe na misimamo mikali ya dini.
5. Awe mtu mwema na open minded.
6. Asiwe mwenyeji wa Singida,Manyara.
Mimi:
1. Nina degree ya Engineering.
2. Nimeajiliwa
3. Nina miaka 34.
4. Ni mkristo
Karibu tuwasiliane PM kwa hatua za awali
We jamàa km Umeoa kweli una Safari fupi na huyo mkeo, mke haambiwi mshahara wa mume hio ni Siri km mwanaume hawa viumbe wana virangaCha kati ni shilling ngapi? Usiongopi kutaja kipato chako mkuu ili uwe huru mimi hapa nilisha wambia mke wangu mpya kipato ili asiwe na matjmaini makubwa nje ya kipato.
Hako kanyaki katamuuaEngineer hesabu unazizungusha utakavyo sasa inakuwaje mbususu unashindwa zipata? Anyways mcheki huyu financial services anahitaji mume na pia anamalizia cpa yake na mwisho kabisa ni mwana yanga lia lia hivyo wee ni kusali tuu mayele afuunge basi yeye sio kwa kutetema huko na matiti yake🤣🤣🤣🤣
Nakupenda hapo tu,Kuna hii kitu inaitwa magenta 😍
Haimkatai mtu yaan
Ni full kudamshiii na kalight make up kwa mbaliiii
Injinia aandae package tu 😂😂
Kumbe financial services ni mnyaki😍😍😍😍 basi atakuwa na takoHako kanyaki katamuua
Tako analo na guu la bia pia analo na rangi nyeusiiii tiiii financial servicesKumbe @fimancial services ni mnyaki😍😍😍😍 basi atakuwa na tako
Kumbe ndio maana anaringaTako analo na guu la bia pia analo na rangi nyeusiiii tiiii financial services
Saivi anapambana na CPA memwambia Njoo nikuoe Desa anaringa atafeli hadi ashangaeKumbe ndio maana anaringa
Utki mke wwNatafuta mke/mchumba;
1. Awe na miaka 25-36.
2. Awe amesoma atleast Degree na kuendelea (masterz, PhD).
3. Awe kajiajiri au muajiriwa.
4. Dini yeyoye na asiwe na misimamo mikali ya dini.
5. Awe mtu mwema na open minded.
6. Asiwe mwenyeji wa Singida,Manyara.
Mimi:
1. Nina degree ya Engineering.
2. Nimeajiliwa
3. Nina miaka 34.
4. Ni mkristo
Karibu tuwasiliane PM kwa hatua za awali
Dah sasa wee kakukataa kwa sababu gani? Mie alinikataa kisa eti mzabzab wee bodaboda nitaongea nini na weweSaivi anapambana na CPA memwambia Njoo nikuoe Desa anaringa atafeli hadi ashangae