Mpe pole sana Na kama kichwa cha family akae chini na mkewe amwambie ni vitu gani hapendelei na kama mwanamama yuko tayari kuacha waendelee na ndoa kama hayuko tayari basi amweleze yuko tayari kutoa talaka .
Akili inaweza kuingia kichwani na akabadilika .
namshangaa huyo mama kwa nini aliolewa
hapo kwenye kabila la wapenda pombe ndipo sijapapenda kwani
atu wote wanaopenda pombe hawahusiani na hilo kabila na ingekua
hivyo baa zote zingejegwa huku migombani sahihisha hapo
marrykate kwa nini ufiche mama.?FL1 wamama wengi tu waliolewa wanapenda starehe, tunakutana nao sana tu sema hawa hawafanyi wanaume zao wakiwepo wanakuwa na kaunafiki flani hivi ka kujifanya wema mbele za macho ya waume zao, ila mme akiondoka na yeye ni kula bata tu,tena kwa hawa wanaume wanaosafiri safiri au wanaofanya kazi nje ya nchi pole zao, mama hakuna part anayoikosa
Huyo anajiendekeza mbona mimi niliambiwa niache pombe nikaacha kabisa japo sometimes nakumbuka napiga kareds tu ,narudi hm napulizia domo pafyum .ila sijamuudhi wamoyo.
marrykate kwa nini ufiche mama.?
Mie wangu wakati anapata hati miliki alijua kabisa my wife anapenda music ,kutoka out na viji mambo fulani fulani mara moja moja nk nk
kwa hiyo nimeingia ndani sina shida naangalia family kama mama na pia mara moja moja nikitaka kutoka hata kama yuko mbali namwambia naenda na marafiki wa kueleweka..
Hii kujificha ficha mtu unakosa mambo mazuri kisa usijulikane interest zako ni zipi?
Mh hii nayo chngamoto, Mhusika anatakiwa kuchukua uamuzi mgumu kwani kuendelea kuwa katika hali hii (mazingara ya stress) kwa muda mrefu kutmuathiri yeye pamoja na mtoto kama unavyosema na yeye kaanza kunywa pombe mwisho wa siku atajashindwa kumhudumia mtoto vizuri kinachotokiwa chapa mkofi piga talaka kwao halafu unajipanga namna ya kulea mtoto wako bila stress.
Mshauri rafiki yako - ajitahidi kukaa chini na mkewe wazungumze.
alinikuta nakunywa pombe bana sindio akasema hapendi nikaacha auThats how marriage works! Ila na wewe kwa nini mpaka alikukataza au nawe ulikuwa pampula?
Good news i may call it ni kwamba binti amekula BAN usiku huu, natoka kwa mshkaji, kamuomba mama yake aje kukaa na mjukuu, bidada amemuvuzishwa. Imeniuma na imenisikitisha kuona wanandoa wamefikia stage hiyo kila nikimuangalia mtoto naumia kama mwanangu vile. Nimepewa jukumu la kupeleka petition ya divorce ili wagawane mali na mambo ya custody of the child na mwanamke asepe zake. The guy seems a bit releaved hata tumechoma samaki kwake na ndio nimeondoka, kiukweli aliyonieleza ni mengi zaidi, yani jamaa ana kifua aisee. Kumbe ameshawahi kumfuma mkewe na njemba akawa halali na mkewe kitanda kimoja. Leo ndo ananionyesha chumbani kwake kulivyo na partition, dah, jamani ndoa hizi. Ila wamezinguana mpaka jamaa kamnyang'anya kila kitu mpaka mahakama itakapotna tamko although wao ni wakatoliki kwa hiyo tunaanza na kusikiliza baraza wanasemaje pamoja walishapelekewa hiyo kesi na wakaisuluhisha.
Jana nilikuwa napata mbili tatu za baridi na jamaa yangu, katika maongezi akaniambia hana furaha ya ndoa yake. Mke wake ni anapenda pombe, analewa na watu mbalimbali anawaita 'friends', hana muda hata wa kutandika kitanda wanacholalia. Chumba chao dada wa kazi ndo anafagia, anafua, kupika na hata kutunza mtoto kwani mama hurudi mtoto akiwa amelala.
Pia kila sherehe anataka kwenda, amediriki kwenda hata kwenye Kili Awards bila ya kumshirikisha mumewe. Alipomuuliza anasema alikuwa na kaka yake, tatizo yote hayo hata ukoo wao wanapenda pombe sana. Kabila la wapenda pombe nadhani mnawajua wale wazee wa migombani walivyo!
Tatizo ni kwamba jamaa amechoka, mwanamke hashauriki, kaomba msaada hata kwao waongee na binti ila haijasaidia. Wana mtoto mmoja, jamaa ndio anahangaika kuwahi nyumbani japo akae na mtoto. Amefikia maamuzi ya kutaka kuachana na mkewe, jamaa ni msomi mzuri na ana kipato cha kujitosheleza, mke pia pamoja hana elimu ila ameweza kuendesha biashara ambayo mumewe alimuanzishia na inaendelea vizuri.
Tatizo mke ni mtu wa starehe za kulimbukia kwani wakati wanakutana hakuwa hivyo tena walikuwa na muda wa kukaa pamoja na kushauriana.
Nimeshindwa cha kumueleza japo nami nikaona labda mnaweza kutoa mchango wowote.
Dah! hatimaye yamekuwa hayo...............Ukiolewa/oa jua upo kwenye hatua nyingine za maisha kabisa, usi-behave kama sharobaro au malaya...lazima uonyeshe tofauti.
Inasikitisha lakini maadam mume kavumilia na kuchukua hatua stahiki za mwanzo kuzuia ndoa kuporomoka dhamira yake sasa ni safi (angalau kwa taarifa tuliyopewa).
Hizi ndoa zina mambo ndio maana nafikiria mara mbilimbili kuoa!
Nikusahihishe kidogo sio wachaga wote wanapenda pombe!!
Lazima kuna tatizo kubwa tuuuu, Either Jamaa hajui kutomba vizuri, au mke anapepo la ngono, Nashauri amwite waongee, awashirikishe wengine na awe makini hao marafiki wasije wakawa nyumba ndogo na wakamletea UKIMWI
Aliapa kanisani siku ya ndoa yao kwa shida na raha,ndo shida zenyewe hizo..pole yake!
Ndo yule kakurupuka kwenda kili awards bila ya kumwambia mumewe! Unajua ni bora mwenzio afahamu unachopenda tokamwanzoni then achague kama utamfaa kuwa wife au demu wa kuzugia tu. Sasa unajifanya mtakatifu kumbe pampula? Waswahili husema mficha maradhi kifo humuumbua! Sasa unapiga ze ulabu ukilewa utaumbuka tu!
Halafu na wewe, hao friends wanaoeleweka ndo wakina nani? Maana mie mwenzenu nimechoka kuwaona wanawake watu wazima na matumbo ya vitambi wamejazana pale savannah lounge, wanalewa kama hawana akili nzuri, wanavuta masigara ili waonekane wana confidence, manyama uzembe yamewazunguka kiunoni kwa kunywa mabia na nyama choma! Wake za watu hao! Ah!
Tatizo hili limewahi kunikumba. Tena hivyohivyo kama ulivyoeleza. Akilewa anasema alikuwa na ndugu. Tukawa tunagombana sana, nampiga. Nikimpiga kosa linageuka kuwa la kwangu. Naulizwa kwa nini nimempiga nikawa nakosa sababu ya maana. siku moja nikaamua kwa dhamira kabisa, sitampiga tena. Akaongeza muda wa kutorudi nyumbani mapema. alikuwa anarudi saa 4-5 usiku sasa ikawa saa 6-7. Nikaa kimya kabisa, nilikuwa nimedhamiria hasa. Siku moja akarudi saa 7 usiku nikamfukuza chumbani. Kwa taratibu za kwetu ukimfukuza mwanamke chumbani na msipoyamaliza wenyewe, usipomrudusha anatakiwa kukushtaki kwa ndugu au familia ili uulizwe sababu ya kumfukuza. Bila kumpiga. Hakuenda popote kwa miezi 3 akawa analala chumba cha pili. Siku moja wakati narudi zangu home nikamkuta kaletwa hadi home getini anakula denda saa 6 usiku. Waliponiona akateremka kutoka kwenye gari lililomleta. Nikampeleka kwa dada yake jirani na mimi nikitumaini kuwa safari hii kesi itakuwa nzuri kweli kwangu. Nikasuburi siku ya kwanza .... mpaka leo mwaka wa sita hajasema sababu iliyofanya nikampeleka kwa dada yake.
Maoni yangu kwako, hana maana huyo, mtafutie sababu umfumanie umfukuze, hiyo ndio sababu kubwa. Ulevi na satarehe sio sababu tosha. Huenda na wewe unastarehe.