Mke mlevi na mpenda starehe!


Kuna post nishaituma, jamaa kashafukuza anasubiri mahakama itoe tamko tu. Sina uhakika kama jamaa atamrudia yule dada maana hadi sasa jamaa hajutii kuachana na mkewe! Mie kinachoniuma ni mtoto tu, yani yule mwanamke anampa wakati mgumu mwanae kwa starehe za dunia za kupita tu.
 
hapo kwenye kabila la wapenda pombe ndipo sijapapenda kwani
atu wote wanaopenda pombe hawahusiani na hilo kabila na ingekua
hivyo baa zote zingejegwa huku migombani sahihisha hapo

Mkuu unaonekana ni mtu wa kujistukia sana, i guess sijataja kabila rather nimetumia fasihi, labda nikuulize we unadhani ni kabila gani nilikuwa naliongelea hapa? Maana watu siku hizi mmekuwa mashabiki wa ukabila. Post yote hii ulichoona ni 'watu wa migombani?' anyway waweza kuniambia wewe labda unadhani ni kabila gani?
 
marrykate kwa nini ufiche mama.?
Mie wangu wakati anapata hati miliki alijua kabisa my wife anapenda music ,kutoka out na viji mambo fulani fulani mara moja moja nk nk
kwa hiyo nimeingia ndani sina shida naangalia family kama mama na pia mara moja moja nikitaka kutoka hata kama yuko mbali namwambia naenda na marafiki wa kueleweka..
Hii kujificha ficha mtu unakosa mambo mazuri kisa usijulikane interest zako ni zipi?
 
Last edited by a moderator:
Huyo anajiendekeza mbona mimi niliambiwa niache pombe nikaacha kabisa japo sometimes nakumbuka napiga kareds tu ,narudi hm napulizia domo pafyum .ila sijamuudhi wamoyo.
 
Huyo anajiendekeza mbona mimi niliambiwa niache pombe nikaacha kabisa japo sometimes nakumbuka napiga kareds tu ,narudi hm napulizia domo pafyum .ila sijamuudhi wamoyo.

Thats how marriage works! Ila na wewe kwa nini mpaka alikukataza au nawe ulikuwa pampula?
 
Mh hii nayo chngamoto, Mhusika anatakiwa kuchukua uamuzi mgumu kwani kuendelea kuwa katika hali hii (mazingara ya stress) kwa muda mrefu kutmuathiri yeye pamoja na mtoto kama unavyosema na yeye kaanza kunywa pombe mwisho wa siku atajashindwa kumhudumia mtoto vizuri kinachotokiwa chapa mkofi piga talaka kwao halafu unajipanga namna ya kulea mtoto wako bila stress.
 

Ndo yule kakurupuka kwenda kili awards bila ya kumwambia mumewe! Unajua ni bora mwenzio afahamu unachopenda tokamwanzoni then achague kama utamfaa kuwa wife au demu wa kuzugia tu. Sasa unajifanya mtakatifu kumbe pampula? Waswahili husema mficha maradhi kifo humuumbua! Sasa unapiga ze ulabu ukilewa utaumbuka tu!

Halafu na wewe, hao friends wanaoeleweka ndo wakina nani? Maana mie mwenzenu nimechoka kuwaona wanawake watu wazima na matumbo ya vitambi wamejazana pale savannah lounge, wanalewa kama hawana akili nzuri, wanavuta masigara ili waonekane wana confidence, manyama uzembe yamewazunguka kiunoni kwa kunywa mabia na nyama choma! Wake za watu hao! Ah!
 
Last edited by a moderator:

Your wish is his command, and thats what realy happened for sure!
 
Mshauri rafiki yako - ajitahidi kukaa chini na mkewe wazungumze.

mie naona hakuna maana yoyote yakuaa chini wazungumze maana tayari huyo muke amesha halibika kikubwa nikumtema 2 tena angalie asije kumletea magonjwa
 

Its a shame for a marriage to end like that, lakini ni bora kutengana kuliko kuuana kwa magonjwa na kumuacha mtoto ateseke...mpe pole rafiki yako, Mungu ni mwema atampitisha salama kwenye haya mapito
 


Nikusahihishe kidogo sio wachaga wote wanapenda pombe!!
 
Dah! hatimaye yamekuwa hayo...............Ukiolewa/oa jua upo kwenye hatua nyingine za maisha kabisa, usi-behave kama sharobaro au malaya...lazima uonyeshe tofauti.

Inasikitisha lakini maadam mume kavumilia na kuchukua hatua stahiki za mwanzo kuzuia ndoa kuporomoka dhamira yake sasa ni safi (angalau kwa taarifa tuliyopewa).

Hizi ndoa zina mambo ndio maana nafikiria mara mbilimbili kuoa!
 

Ni kweli mazee, ukioa au kuolewa lazima uonyeshe tofauti katika mfumo wa maisha yako, maana umeshavuka stage ya kwanza na umeingia stage ya muhimu katika maisha ya mwanadamu kwani hapo ndipo watoto huzaliwa ambao wao huwa wanajamii. Usipoonyesha kupevuka, kuna hatari ya kutengeneza jamii yenye maadili mabaya. Jamii yenye kupenda ulevi, ukahaba, kuzaa hovyo na kulekeza watoto, kupiga wanawake, jamii ambayo wanawake hawatafurahia uzao wao! Ni muhimu kubadilika sio kuvaa pete tu! Its more than that. Hata uvaaji, maongezi, marafiki, places you use to hang out sasa mme au mke wa mtu kila siku anakunya bia kona bar au jolly's tukueleweje na pete yako? Ah ndoa hizi.
 
Nikusahihishe kidogo sio wachaga wote wanapenda pombe!!

He! Mkuu umetoka wapi mbona fasta hivyo? Kuna sehemu nimemention kabila kwa jina? Au kwa kanda kuwa ni wale wa migombani kusi, kaskazi, mashari au magharibi? Mbona we unakuwa mtu mwingine tena kujihisi? Hebu pitia vizuri hiyo post then uniambie wapi na uthibitishe kuwa ni wachaga ndo wazee wa migombani pekee? **** wanyakyusa, wahaya etc etc etc! Lakini waweza kutoa ufafanuzi kwa nini umejihisi kuwa we mchaga ndo mpenda pombe! Labda utoe ufafanuzi kidogo although the main point hapa ni tabia ya huyo dada, kabila sio ishu hapa mkuu ndo maana sikuiweka hadharani.
 
Reactions: Sal
Lazima kuna tatizo kubwa tuuuu, Either Jamaa hajui kutomba vizuri, au mke anapepo la ngono, Nashauri amwite waongee, awashirikishe wengine na awe makini hao marafiki wasije wakawa nyumba ndogo na wakamletea UKIMWI
 
Lazima kuna tatizo kubwa tuuuu, Either Jamaa hajui kutomba vizuri, au mke anapepo la ngono, Nashauri amwite waongee, awashirikishe wengine na awe makini hao marafiki wasije wakawa nyumba ndogo na wakamletea UKIMWI

Kwanza lugha umeitumia kali kidogo, lakini labda nikuulize; hivi kwa nini kila mwanamke akigombana na mumewe mnakimbilia kusema jamaa hachapi vizuri? Laiti mngekuwa mnaona hawa wanawake wanavyopindwaga hata mngewaonea huruma. Tatizo wakishatemwa ili aweze kujustfy ukahaba wake ndo hujisingizia eti hakuwa ananiridhisha kwani ukae miaka yote hiyo leo ndo useme? Hawa watu huwa wanapindwa mpaka unadhani atavunjika na harudii tena, ila utashangaa na kesho anataka! Ishu hapo sio kupinda mie nadhani ni tabia mbaya ya mwanamke.
 
shida ni kama mtu anaumwa, au ukata umetawala nyumbani, sio mtu unapombeka mpaka mausiku with so called "friends" halafu unaseme shida na raha... bull shit...
piga makofi ya kutosha, kesho atajua ana mume na mtoto na atajua kazi zake na zipi na za house girl ni zipi. mwanamke gani umeolewa halafu kutwa unarudi unanuka mipombe kitandani wakati mwenzio yuko sober.
apeleke umigombani wake huko kama yeye starehe kaziona ukubwani. hana haya hata kidogo.

Aliapa kanisani siku ya ndoa yao kwa shida na raha,ndo shida zenyewe hizo..pole yake!
 

marafiki wa kueleweka si ndo hao hao jamani
hata ukimwambia mwenzio niko na fulani na fulani hana hofu..
Sio ukimtajia niko na Carina anachanganyikiwa huko alipo na kukosa amani
 
Hizi ndoa..!!! hadi mwili umenisisimka! acha saa 4 au 5 usiku, mke wa mtu saa 2 usiku hujarudi nyumbani bila sababu ya msingi..!!! hata kama ni foleni za Dar, wenye upendo huwa wanasubiriana. hata kama kila mmoja ana gari lake, mnangojeana mahali wote mwende nyumbani pamoja. labda kama mnatoka wrong direction lakini mtu utajua kua mke wangu kazi yake inamchelewesha na mume ataelewa.
hivi wanawake wanaolewa ili wavae shela au waonekana na zile pete mbili kwenye kidole japo nafsi inakataa?? mke wa mtu ana nyumba ndogo...!!! halafu inakuleta hadi mlangoni kwa mumeo. hata hao wanaume wanaowachukua nao wana roho ya chuma.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…