Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 7,019
- 10,455
- Thread starter
- #101
Mpe pole sana Na kama kichwa cha family akae chini na mkewe amwambie ni vitu gani hapendelei na kama mwanamama yuko tayari kuacha waendelee na ndoa kama hayuko tayari basi amweleze yuko tayari kutoa talaka .
Akili inaweza kuingia kichwani na akabadilika .
namshangaa huyo mama kwa nini aliolewa
Kuna post nishaituma, jamaa kashafukuza anasubiri mahakama itoe tamko tu. Sina uhakika kama jamaa atamrudia yule dada maana hadi sasa jamaa hajutii kuachana na mkewe! Mie kinachoniuma ni mtoto tu, yani yule mwanamke anampa wakati mgumu mwanae kwa starehe za dunia za kupita tu.