Mke mpya wa Manara avunja ukimya, "Sijafata Pesa"

Mke mpya wa Manara avunja ukimya, "Sijafata Pesa"

Mapenzi ya kweli yalikwisha tangu enzi za Mwalimu, siku hizi ni wizi wizi mtupu. Enzi za Mwalimu mtu alikuwa anambusu mpenzi wake shavuni tena wakiwa chumbani. Lakini siku hizi ni wizi wizi mtupu, wanaanzia kitovuni kwenda chini. Usifikiri kila unaemuona na toothpick katoka kula, kuna wengine wanaondoa vipande vya mavusi kwenye meno. Ni wizi wizi mtupu.
 
Hivi manara ana hela gani wakuu?
Kuna mdau hapo kaweka vizuri.

Manara pale Yanga tu hakosi take home ya 5m,pili Ambassador wa bidhaa zote za Bakheresa na mwaka jana, alivyo sainishwa mkataba mpya alisaini akiwa na Bakheresa (kuna picha alipost akiwa na Bakheresa kwenye boti),then akasaini na Yanga plus safari ya kwenda kupumzika Dubai kwa wiki. Tatu ni Ambassador wa GSM na kampuni zake zote, bado kuna vikampuni vya betting na vyengine vidogo vidogo anavyo viwakilisha kama Ambassador.

Jamaa hela anayo.
 
Asitudanganye, hapo anazuia wadada wa mjini wasimkwapue huyo Haji, eti Hana hela🤣🤣😂 Akae Kwa kutulia, bado nafasi mbili, watu wataingia kuona hicho kilichomfanya yeye awaache wote aolewe na Haji! Kwanza Nani kasema mapenzi ni hela?🤣🤣 Bado nafasi 2.
 
Tena kwa Tz hii, hiyo ni pesa ndefu sana,
Tena kwa waislamu bajeti yao kwa wamama.
Vijora vinne kwa mwezi 50000 nanauli
Nguo za ndani elfu 25 seti yake.
Make up 35 ,000tsh
Manukato 45,000tsh zile za kiarabu
Viatu 45,000tsh
Vigold gold tu 50,000tsh
Na mapete pete elfu kumi basi

Mlo laki au 50 kwa mwezi wanajua kibana sana hela wakipewa hadi raha so ndio maana wanaolewa wake 7 au 9 na mtu mmoja hawana gharama .
Hapo nimesahau na vipuli, taulo zakike na akiba zao za matumizi tuseme kila mwanamke anapewa laki 5 ,
3 ni ya shopping .
2 ya kuficha
 
Manara pesa anayo ,mshahara milioni 11 ,bado matangazo ambayo anapata zaidi ya milioni 5 kwa mwezi ,mtu mwenye kipato cha zaidi ya 16m kwa mweiz hauwezi kusema kwamba hana pesa.
Manara huyu huyu ambae alilalamika kuwa alikuwa analipwa laki 7 Simba hahaha

Maisha ya Hawa watu wenye majina yangekuwa hivyo unachoandika ingekuwa hatari sna
 
Manara huyu huyu ambae alilalamika kuwa alikuwa analipwa laki 7 Simba hahaha

Maisha ya Hawa watu wenye majina yangekuwa hivyo unachoandika ingekuwa hatari sna

Mkuu kwa manara hakuna porojo ,ndicho kipato anachopata ,simba walitaka kumpa milion 4 ili aachane na matangazo lakini alikataa means matangazao yanamlipa kuliko hiyo 4m yao.
 
Asitudanganye, hapo anazuia wadada wa mjini wasimkwapue huyo Haji, eti Hana hela🤣🤣😂 Akae Kwa kutulia, bado nafasi mbili, watu wataingia kuona hicho kilichomfanya yeye awaache wote aolewe na Haji! Kwanza Nani kasema mapenzi ni hela?🤣🤣 Bado nafasi 2.
asitake kujisahaulisha
 
Album ya the only one king ndo ilivunja ndoa ya yogo beat na mke mpya wa manara jamaa alikuwa anakaa sana studio kuliko nyumbani na walikuwa na ugomvi mkubwa sana kabla ya kuachana toka hapo yogo hayupo sawa na aliamua kuomba kupumzika kufanya mziki kwa mda baada ya kukamilisha album ya the only one King ila mwanamke hakurudi nyuma kaaamua kuamsha mazima.
 
Kuwa mwanamke ni kazi sana kwa maono yangu.
Sijui Wanawake wenyewe wanaonaje?
 
Back
Top Bottom