najiuliza mwanamke anampenda kwa dhati mwenye ulemavu wa ngozi na stigma iliyo vichwani mwa watz juu ya ulemavu huu.....kama ni kweli amempenda kwa dhati si kufuata pesa, huyu mama mbinguni atapata makazi murua sana
Hivi manara ana hela gani wakuu?Hao ndio wanawake, kwenye hela wanakuwaga na true love.
Kuna mdau hapo kaweka vizuri.Hivi manara ana hela gani wakuu?
Tena kwa waislamu bajeti yao kwa wamama.Tena kwa Tz hii, hiyo ni pesa ndefu sana,
Manara huyu huyu ambae alilalamika kuwa alikuwa analipwa laki 7 Simba hahahaManara pesa anayo ,mshahara milioni 11 ,bado matangazo ambayo anapata zaidi ya milioni 5 kwa mwezi ,mtu mwenye kipato cha zaidi ya 16m kwa mweiz hauwezi kusema kwamba hana pesa.
Manara huyu huyu ambae alilalamika kuwa alikuwa analipwa laki 7 Simba hahaha
Maisha ya Hawa watu wenye majina yangekuwa hivyo unachoandika ingekuwa hatari sna
Shekeri, Dinari, Cash, Pesa, DollarBadae atasema tuu ukweli , japo kaamua kumtelekeza mwanetu Yogo , kumiliki pisi Kali alaf Una shekeli za kuunga unga lazima ukimbiwe tuu
Hungry Lion Never SleepAtajijua mwenyewe
asitake kujisahaulishaAsitudanganye, hapo anazuia wadada wa mjini wasimkwapue huyo Haji, eti Hana hela🤣🤣😂 Akae Kwa kutulia, bado nafasi mbili, watu wataingia kuona hicho kilichomfanya yeye awaache wote aolewe na Haji! Kwanza Nani kasema mapenzi ni hela?🤣🤣 Bado nafasi 2.
[emoji23]Nawaza Mimi nimdeep kiss Manara [emoji849][emoji849][emoji85]
Mkuu ebu malizia bas Aya Mambo ..unaekaje nusu nusu .producer yupi uyoNa yule prodyuza aliemkimbia, yeye vipi hela anayo kumzidi Manara au?