Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mahitaji zaidi ambayo mtu wa kawaida hawez kuyatimiza labda mke tuuKuna wakati nawaza sanaaa,upi umuhimu wa mtu kama mrema kuoa kwa umri alionao,ukitazama mkewe wa kwanza hana muda mrefu tangu afariki?
Maana kama mtu wa kumuhudumia kwa wadhifa na pesa alizonazo hakosi,na pia ana watoto wakubwa tu wanaweza kuweka utaratibu mzuri wa kumuhudumia.
Kuna wakati wanaume hiki kichwa cha chini kinaamua upuuzi unaotughalimu sanaa. Nimetazama video namna alivyopata shida kuinuka, still mwanamke kashinda hata kumpa support ya kumnyanyua,tena wapo kanisani,sasa wakiwa chumbani itakuwaje?!
Mungu tujaliwe mwisho mwema wa maisha,tujue namna njema ya kuishi,kuamua na kutenda.
mkuu, hoja ipo hapo kwenye "kuhudumia" kuna huduma msaidizi wa kazi hawezi kukupaKuna wakati nawaza sanaaa,upi umuhimu wa mtu kama mrema kuoa kwa umri alionao,ukitazama mkewe wa kwanza hana muda mrefu tangu afariki?
Maana kama mtu wa kumuhudumia kwa wadhifa na pesa alizonazo hakosi,na pia ana watoto wakubwa tu wanaweza kuweka utaratibu mzuri wa kumuhudumia.
Kuna wakati wanaume hiki kichwa cha chini kinaamua upuuzi unaotughalimu sanaa. Nimetazama video namna alivyopata shida kuinuka, still mwanamke kashinda hata kumpa support ya kumnyanyua,tena wapo kanisani,sasa wakiwa chumbani itakuwaje?!
Mungu tujaliwe mwisho mwema wa maisha,tujue namna njema ya kuishi,kuamua na kutenda.
Mzoea vya kunyonga kuchinja haeziKuna wakati nawaza sanaaa,upi umuhimu wa mtu kama mrema kuoa kwa umri alionao,ukitazama mkewe wa kwanza hana muda mrefu tangu afariki?
Maana kama mtu wa kumuhudumia kwa wadhifa na pesa alizonazo hakosi,na pia ana watoto wakubwa tu wanaweza kuweka utaratibu mzuri wa kumuhudumia.
Kuna wakati wanaume hiki kichwa cha chini kinaamua upuuzi unaotughalimu sanaa. Nimetazama video namna alivyopata shida kuinuka, still mwanamke kashinda hata kumpa support ya kumnyanyua,tena wapo kanisani,sasa wakiwa chumbani itakuwaje?!
Mungu tujaliwe mwisho mwema wa maisha,tujue namna njema ya kuishi,kuamua na kutenda.
Akiwa waziri wa msmbo ya ndani na mahita akiwa IGPHizo ni biashara zake mwenyewe Mrema..kumbuka huyo binti alimkatisha masomo na kumpa mimba
Aliwahi kuwa muajiriwa "Uhamiaji" (kigoma), alitumbuliwa enzi za hayati Jpm...Kwani hakuna aliye na history ya huyo mama ailete hapa? Maana anajisemea mwenyewe na kukataa kueleza baadhi ya maswali.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Aliingizwa uhamiaji na mrema skiwa waziri wa mambo ya ndani. Mrema ni mhuni karudisha kimada ndani kuwa mke.Aliwahi kuwa muajiriwa "Uhamiaji" (kigoma), alitumbuliwa enzi za hayati Jpm...
Hope atapata twins kama kakaMmh Doreen..haya tusubiri Mrema kua kijana tena.
Hivi nikuaje binti au mama wa miaka 39 unamvulia ch…pi mzee wa miaka 77?Hope atapata twins kama kaka
SwadaktaAliingizwa uhamiaji na mrema skiwa waziri wa mambo ya ndani. Mrema ni mhuni karudisha kimada ndani kuwa mke.