Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Hivi nikuaje binti au mama wa miaka 39 unamvulia ch…pi mzee wa miaka 77?
Ni ili upate mali au ?Huyu mtu wa miaka 77sio baba yake? Mshipa wa aibu imekwisha kwa wasichana dunia .tutafute pesa.
Usiseme hivyo hapa duniani mambo mengi yanatokea kama ukishangaa haya unaweza kufanya mengine na wewe wengine wakakushangaa
Ni mambo ya kawaida sana na yapo na yatakuwepo sana tu