Mke mpya wa Mrema afunguka mazito, hajawahi kuolewa

Kuna mahitaji zaidi ambayo mtu wa kawaida hawez kuyatimiza labda mke tuu
 
mkuu, hoja ipo hapo kwenye "kuhudumia" kuna huduma msaidizi wa kazi hawezi kukupa
 
Mzoea vya kunyonga kuchinja haezi

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Siku hizi tunakunywa tangawizi tu
 
Mrema akisharudi kuwa kijana, agombee uraisi 2025

Huu ulikuwa mchepuko wake kitambo tu
 
Watu wameamua kuoana lakini bado waja wanachonga ngenga...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…