Riwa
Platinum Member
- Oct 11, 2007
- 2,607
- 3,079
kama ni ulaya hiyo ndio shughuli yao kubwa | wazungu bwana! mbaya zaidi apate akili kama za wazanzibar kuogopa mimba kwa kugawa (o) eti asije haribu masomo yake!so limzungu ndio linacheeeka kwa utamu! test kama umekosea vile result wil comeback shitsgalz
Sasa umefanya japo kautafiti kujuja huko Ulaya au Zanzibar wanawake wana hilo tatizo analolizungumzia jamaa!? Sijui kama Ulaya na Zanzibar ndio vinara wa anal sex, sina takwimu ... ila kwa hili tatizo analozungumzia matatiz, sidhani kama Ulaya na Zanzibar ni vinara, takwimu zipo. Kama hili tatizo lingehusiana na kugawa (o) kama usemavyo..basi haya maeneo uliyotaja wangekuwa vinara wa huo ugonjwa.
Last edited by a moderator: