Mke mwaminifu hupata mume asiye muaminifu, na Mume muaminifu hupata mke asiye muaminifu

Mke mwaminifu hupata mume asiye muaminifu, na Mume muaminifu hupata mke asiye muaminifu

Dah kungekua na uwezekano Wakabadilishana apo ila sasa ule msemo wa ndege wafananao una maana gani sasa au wao ndo awana bahati
 
Kuna uhalisia wa kiwango kikubwa hapa.

Hasa kwa vijana, na nina iman hali hii hubadilika mkikaa kwa miaka mingi kwenye ndoa.

Vijana tuna matatizo sana kwenye ndoa hizi, mpaka wengine wanaona ugumu kuoa/olewa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Pia mwanaume mbaya ndo anaoa mwanamke mzuri...na mwanamke mzuri ataolewa na mwanaume mbaya.. sijui inakuaje hapa mlio oa mje mtuambie hapa
Umeongea nini hapo sasa?! Bado hujatofautisha ulicho taka kumaanisha.
 
Kwahio sie mabaharia tupo kundi gani hapo!? Wakorofi au Maboya?
 
Mwanamke akishajua unampenda kwa dhati na kwake hupindui hakuna rangi utaacha kuiona hii pia ipo kwa wafanyakazi akijua unampenda na kumthamini ataanza dharau na kazini ataanza kuja muda anaotaka,wazee wetu walikuwa ni wakali ndio maana waliheshimika na pale walioona dharau inaanza kuja walitoa kipigo cha mbwa koko,sasa jifanye baby baby uone kama hujapigishwa deki nyumbani MCHEZA KAMARI


Sent using IPhone X
 
Ni vizuri kuwa tofauti ili kubalansi atmosphere, mmoja awe mkorofi hata kwa kujifanyisha tu inapendeza... hata sumaku zikifanana hamna kitu.
 
Unlike poles attract each other! NS/SN
never SS or NN
 
Back
Top Bottom