dada mwema
JF-Expert Member
- May 16, 2017
- 212
- 158
AmenAsante sana mkuu, hapo kwenye umakini ndio tunamtegemea BWANA sasa, atuepushie kila nafsi isiyofaa,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmenAsante sana mkuu, hapo kwenye umakini ndio tunamtegemea BWANA sasa, atuepushie kila nafsi isiyofaa,
Asante sana mkuu,Wema wapo hata mikoani ila umesema dar, au pwani ndo tushakosa fursa. Any way kila lakheri Mkuu Mungu akuonekanie
Ww ni mkoa gani mkuuWema wapo hata mikoani ila umesema dar, au pwani ndo tushakosa fursa. Any way kila lakheri Mkuu Mungu akuonekanie
Hahaha unaomba kuaminiwa kwa upuuziMkuu ungeongezea mkazo, km kigezo kikubwa awe Ameachika si chini ya mara tano, yaan wale waliokubuhi kwenye mapenzi, huyo atatulia blv me..
Hehe fact.Mkuu siku hizi watu wanakuwa netzen zaidi kuliko kuwa citizen, tunaishi mtandaoni kuliko mtaani so wacha tuoe hukuhuku,
Daah, kweli mtu mpumbavu utamjua kwa maneno yake.changamkia fursa ila muulize ataweza kukugaramia mtaji upo ATM inasoma anajua kutombana
Weka na ushahidiMke mwema anatoka kwa bwana sio jamiiforum..... tuliopo huku sio wema
Ushahidi wa nn tena mkuuWeka na ushahidi
Sawa mkuu, kusuka au kunyoa,wanakuja subir kuna mmoja alikosea akapm kwang sasa nmeelekeza bomu la nyuklia kwako.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapana nimekutaniaAsante sana mkuu,
Japo jina lako linaonesha kama vile na mm nakosa fursa ya kupata ninachotafuta huku nakiona,
Kwamba waliopo humu si wemaUshahidi wa nn tena mkuu
Poa mkuu,[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapana nimekutania
tatizo wanaume wengi wanaotafuta wanawake mitandaoni either sio wa kweli na hawako seriuos they just wanna have fun kuonana wadada wanahangaika nao, au kama kweli yuko serious basi anakuwa wa ajabu khaa ukikutana nae unaweza zima simu ukimbieYaani wale wadada wakiweka tu uzi , unakutana na reply kama mia moja za kuwahi nafasi, nahisi wao wenyewe huwa wanachanganyikiwa, lakini sisi wanaume ukimpata mdada ujue kweli amekuelewa,
Ila umenena mkuu, ni kushauriana ndio maana tupo humu,we baada upande jukwaa la kanisani kumtafuta mke mwema unapanda jukwaa la love connect kumtafuta mke mwema !! yaani hujui unachotaka