Mke mwenye gubu utamjua tu asubuhi mkiamka

Mke mwenye gubu utamjua tu asubuhi mkiamka

Huko ni kupatwa kwa mume, kama ni jumamosi nadhani ningechukua wallet yangu nawasha gari narudi jumapili jioni kujiandaa kwenda kazini.
 
vyanzo vingi vya vurugu ndani talaka ugomv ukichunguza kwa umakini utakuta chanzo ni mwanamke tuu
 
Mwenye gubu ni aliyeanza kuongea. ukienda kimyakimya je?

Ghafla twende mazoezi mwee!e! Unatakiwa umuandae week nzima mtoto wa kike sharti ajipodoe kabla ya kuvaa t/ suit.

Hamkawii kusema huyu dume jike! Wanawake mpoooo!

Hawezi kwenda sambamba na dume. Mtengee siku zake maalumu za kuzoezika, na gari imfuate kwa nyuma,ikiwa na juice na pop con kiasi au bajaji, km huna baiskeli.

Ana umbo tofauti na wewe. Haya sasa km ana tumbo la bleeding?
Una kimbilia hukumu tuu! Siyo gubu?

Kuwa mpole, sema kwa upole taatibu ikimsugua mgongoni
 
Jamaa kaamka asubuhi kavaa track suit akamuamsha mkewe

MUME:Amka twende jogging mke wangu?

MKE: Alaaa kwa hiyo una maana mi tipwatipwa?

MUME: Hapana si hivyo jogging ni nzuri kwa afya.

MKE: Kwa hiyo una maana mi mgonjwa?

MUME: Basi yaishe endelea kulala

MKE: Kwa hiyo unaniona mi mvivu sana sio?

MUME:Hujanielewa mpenzi wangu sikuwa na maana hiyo baby

MKE:Kwa hiyo mie mjinga mpaka nashindwa kukuelewa?

MUME:Jamani mi sijasema hilo

MKE:Kwa hiyo mie muongo?

MUME:Chonde tusiendeleze haya asubuhi namna hii

MKE:Kwa hiyo mie ndio naendeleza ugomvi?
MUME:Sikia we lala mie naenda jogging.

MKE:Ndio zako hizo mambo yote unafanya peke yako hunishirikishi"

MUME:Unajua nimeanza kusikia kizunguzungu

MKE: Unaona nikiongea kidogo unakimbilia kuumwa, mbinafsi sana wewe......
Huyo kweli Ana GUBU, hakosi neno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa kaamka asubuhi kavaa track suit akamuamsha mkewe

MUME:Amka twende jogging mke wangu?

MKE: Alaaa kwa hiyo una maana mi tipwatipwa?

MUME: Hapana si hivyo jogging ni nzuri kwa afya.

MKE: Kwa hiyo una maana mi mgonjwa?

MUME: Basi yaishe endelea kulala

MKE: Kwa hiyo unaniona mi mvivu sana sio?

MUME:Hujanielewa mpenzi wangu sikuwa na maana hiyo baby

MKE:Kwa hiyo mie mjinga mpaka nashindwa kukuelewa?

MUME:Jamani mi sijasema hilo

MKE:Kwa hiyo mie muongo?

MUME:Chonde tusiendeleze haya asubuhi namna hii

MKE:Kwa hiyo mie ndio naendeleza ugomvi?
MUME:Sikia we lala mie naenda jogging.

MKE:Ndio zako hizo mambo yote unafanya peke yako hunishirikishi"

MUME:Unajua nimeanza kusikia kizunguzungu

MKE: Unaona nikiongea kidogo unakimbilia kuumwa, mbinafsi sana wewe......

kwkwkw hahahah!
 
Hapo ni kofi moja tu azinduke kidogo akili
Akiuliza tena kwa hiyo kofi moja unampa lingine chap then atajiandaa mwenyewe muende jogging👊
 
Hhahahahha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimecheka sana leo sio kwa gubu iloo angekuwa faran kasha kutia mbata moja matata stakig kbsa kuchezea hyo mtu
 
Back
Top Bottom