Natafuta mke mwenye sifa hizi:
1.Dini mkiristo/mlokole kipaumbele
2.elimu kwanzia form 4
3.umri miaka 20 hadi 25 mwisho
4.urefu 6ft au 5.5ft
5.rangi siokipaumbele
6. mwili wa wastani
7.kazi sio kigezo
8.Kabila sio kigezo
9.Usiwe na mtoto
Mimi mwenyewe:
Mkristo/mlokole
Elimu shahada ya uzamili
Umri 35
Urefu 6ft
Mwili mwembamba
Kazi nimejiajiri
Kabila kanda kati kwa Lissu
Sina mtoto
Nakuomba ukiwa umekidhi vigezo na kweli una nia ya dhati basi njoo pm tuyajenge na kama unajijua wewe ni mpenda anasa kaa mbali nami nakwa wale wakritso wa jumapili tu naomba kaa mbali nami hapa nahitaji mkritso wa wakweli na anaejuwa thamani ya kristo ndani yake.
1.Dini mkiristo/mlokole kipaumbele
2.elimu kwanzia form 4
3.umri miaka 20 hadi 25 mwisho
4.urefu 6ft au 5.5ft
5.rangi siokipaumbele
6. mwili wa wastani
7.kazi sio kigezo
8.Kabila sio kigezo
9.Usiwe na mtoto
Mimi mwenyewe:
Mkristo/mlokole
Elimu shahada ya uzamili
Umri 35
Urefu 6ft
Mwili mwembamba
Kazi nimejiajiri
Kabila kanda kati kwa Lissu
Sina mtoto
Nakuomba ukiwa umekidhi vigezo na kweli una nia ya dhati basi njoo pm tuyajenge na kama unajijua wewe ni mpenda anasa kaa mbali nami nakwa wale wakritso wa jumapili tu naomba kaa mbali nami hapa nahitaji mkritso wa wakweli na anaejuwa thamani ya kristo ndani yake.