Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi lugha zako zitakuondolea sifa za kuwa mke mzuri🤣😂😂 sokapoo mwaisa
Aiseeee.nikiongea kwa experience, napenda kuheshimu mwanadamu yeyote hata akiwa na changamoto zozote. ila huwa nikiviangalia vimwanamke mfano hivyo vilivyosoma, vinavyopenda kuongea kimombooo, vinavyojifanya vina mambo ya ulayaaa, vimeishi ulaya au hivyo vizungu n.k, namna wanavyojidai na kujiona wao ni bora kuliko wanawake wengine, wakati kwa uzoefu wangu nikiwaangalia sura nawaona wa kawaida sana na wanaweza kuwa wanazidiwa mbali sana na wanawake wa kawaida hawa. hao wasomi sijui wazungupori huko chini bora hata mkulima wa viazi kule njombe. kwasababu wametumika na kutumikaa kwa uhuru wote, na hata wakiweka make up sehemu zao hawawezi kuzibadilisha,zimeharibika kuanzia primary, sekondari, chuo, wakati anatafuta kazi, makazini huko ni vicheche kuliko hata hawa wa kawaida.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mtu hana mtoto hata mmoja uke wa baridi kama nyoka. Halafu anatafuta mume bora. Atulie akutane na wahuni wenzake waliokataa watoto
Unakijua kibubu wewe? Bado ujawa mzalendoKwamba unataka kusema nini? Mr ATM? Hahaa, we endelea kutumia Absa sijui ma Equity..
mimi mzawa nakomaa na siharadibi.
Hehe pole kwa kuumia [emoji1787][emoji1787]
Nasubiri huo mswali..
Naunga mkono hoja kwa 90%nikiongea kwa experience, napenda kuheshimu mwanadamu yeyote hata akiwa na changamoto zozote. ila huwa nikiviangalia vimnwanamke mfano hivyo vilivyosoma, vinavyopenda kuongea kimombooo, vinavyojifanya vina mambo ya ulayaaa, vimeishi ulaya au hivyo vizungu n.k, namna wanavyojidai na kujiona wao ni bora kuliko wanawake wengine, wakati kwa uzoefu wangu nikiwaangalia sura nawaona wa kawaida sana na wanaweza kuwa wanazidiwa mbali sana na wanawake wa kawaida hawa. hao wasomi sijui wazungupori huko chini bora hata mkulima wa viazi kule njombe. kwasababu wametumika na kutumikaa kwa uhuru wote, na hata wakiweka make up sehemu zao hawawezi kuzibadilisha,zimeharibika kuanzia primary, sekondari, chuo, wakati anatafuta kazi, makazini huko ni vicheche kuliko hata hawa wa kawaida.
Hii lugha sio ya mume, ni ya nyie washkaji. Tuliza komwe 🤣🤣Hizi lugha zako zitakuondolea sifa za kuwa mke mzuri🤣
Hivyo huku mikoani wanavitia chuma ulete, naogopa.Unakijua kibbutz wewe? Bado ujawa mzalendo
Kudadeq😄 nilivyosoma nikakukumbuka wewe!!Huo ujumbe usiupuuze plz
"Washkaji"🤣Hii lugha sio ya mume, ni ya nyie washkaji. Tuliza komwe 🤣🤣
Haha utaelewa tu"Washkaji"🤣
Mimi ni mzee na unaniita mshkaji,kweli?🤣Haha utaelewa tu
Nimefanyaje tena?😂Kudadeq😄 nilivyosoma nikakukumbuka wewe!!
Smart sasa huu ni uhuni🤣🤣Ahsante kwa taarifa, weka picha...
Fungua hizo code mshirika😂Unavyomwaga mboga.
Topic nzuri ila bila picha imepoteza ubora...Smart sasa huu ni uhuni🤣🤣
Topic nzuri ila bila picha imepoteza ubora...