Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 758
Ni sawa kiongozi wangu,...
Ila hapa issue ni kwamba mama anaumwa na suala la matibabu ni lazima ili apone,...masuala ya kusema nani atam_care hayawezi kushindikana unaweza kumuagiza sister,dogo,au hata ukatafuta msichana yeyote wa kunfanyia hivyo halafu ukamlipa..by the way hatujaambiwa kazidiwa...
Na kwa taarifa yako mwanamke wa aina hiyo hata kama utamplz halafu akalidhia mama yako akaja katu hawezi kumjali inabidi tu utafute altenative ya kum-care mama yako.......nazidi kusisitiza tu kwamba akili na nguvu ya ziada inahitajika haraka ili mama apate unafuu..otherwise sidhan kama ni busara tena kuendelea kumuomba huyo mkeo eti mama yako aje kutibiwa_lazimisha kiongozi kama vip atajisikia vibaya let her go
dah, umeni convince mpaka nimemchukia huyu mke...
sawasawa kaka, nimekuelewa. Huyu mke wa mheshimiwa
kwakweli amekosea.
Labda mkeo kagundua mama yako anapretend anaumwa, na anataka aje kwako kukugombanisheni muachane. Mie nawajua mama wake tabia zao kwa watoto wao wa kiume. My mother ndio mchezo wake pia kupretend anaumwa ili akafuruge ndoa za watoto wake wa kiume, sababu hajawapenda wake za watoto wake. Hata mie sijaipenda hizi tabia za mama zetu, ndio maisha. wewe kama dume, usimuache mke wala mama hapo, kuwa makini hapo
Kaka hata mimi nilitaka kuingia kichwa kichwa, ulilosema linaukweli sana. Inabidi jamaa utujuze zaidi anaishije na mke wake, lakini ukweli unabaki vile vile Mama ni muhimu sana sasa kama mke hampendi Mkwe hafai kabisa tena ni Sumu kabisa.Igwe usikurupuke namna hiyo kaka. Ukijibiwa hiyo nyumba ni ya mke, utasemaje?Busara zinahitajika zaidi kwenye hili kuliko povu. Kila nyumba inahitaji busara zake.Kuombana ushauri ndio desturi za waungwana.
Labda mkeo kagundua mama yako anapretend anaumwa, na anataka aje kwako kukugombanisheni muachane. Mie nawajua mama wake tabia zao kwa watoto wao wa kiume. My mother ndio mchezo wake pia kupretend anaumwa ili akafuruge ndoa za watoto wake wa kiume, sababu hajawapenda wake za watoto wake. Hata mie sijaipenda hizi tabia za mama zetu, ndio maisha. wewe kama dume, usimuache mke wala mama hapo, kuwa makini hapo
Wadau mama anaumwa na anataka kukaa na mimi,mke wangu anasema hana furaha kukaa na mama nyumba moja,nimechanganyikiwa nishaurini,nimuondoe mamam au nikae nae na mke wangu hatakuwa na furaha???
Nisaidieni wajameni.
acha kuwa na mawazo ya pimbi, unawezaje kumuuliza mama yako sababu za kutaka kuja kwako? Inshort ni kwamba mama yangu ana thamani kubwa sana, mama ndie mtu wa karibu zaidi na mwanae, ukimpenda mama wa mumeo ni sawa kabisa na kuonyesha unamjali mumeo! Ukishaoa mwanamke anakua sehemu ya familia ya mume ndo maana kwao aliagwa na send off na mahari ukatoa hivyo anao wajibu wa kukusaidia kumtibu na kumhudumia mama yako maana mke ni msaidizi wa mume. Pia mama hawezi kuwa na mipaka ya kuja kwa mwanae hata kama haumwi as long as unaouwezo wa kumu accomodate bila shida. Kama unao uwezo wa kumsaidia mama yako na mke anakuwekea pingamizi kwa upande wangu mke atakua hanifai kwanza unatakiwa ujue kuwa moja ya sababu za kuoa ni mke kukusaidia majukumu yako na sio mapenzi tu. Kumtunza mama yako ni wajibu wake kabisa.Jaribu kumuuliza mkeo sababu ya msingi ya kutokutaka kuishi na mama yako,pia muulize mama yako sababu ya kutaka kuja kuishi kwako,inatakiwa ujue kuwa kila mmoja ana thamani yake,thamani ya mama haiwezi kuwa ya mkeo wala thamani ya mkeo haiwezi kuwa ya mama yako,lakini pia mama yako anatakiwa atambue kuwa umeoa na unahitaji kuishi na mkeo unless kwa muda au anakuja hapo kwaajili ya matibabu au hana pa kuishi,lakini inaonekana pa kuishi kupo ndo maana anataka kutoka huko aliko ili aje kwako,lakini pia hata kama hana pa kukaa mtafutie pa kukaa,kwani kukaa na wazazi inatakiwa hekima sana,pia kama umeoa ni wakati wa kukaa na mkeo na watoto sio wazazi,kama unataka amani take my advise,mweleweshe mama yako,kama matibabu yako mbali na aliko kaa nae akimaliza matibabu aende nyumbani!
NAWASHUKURU SANA WADAU WOTE KWA USHAURI MLIONIPA.LAKINI NISEME TUU NIMEFURAHISHWA NA JINSI MNAVYOTOFAUTIANA KWENYE USHAURI WENGINE MMESEMA NITUMIE NGUVU KUHAKIKISHA MAMA ANATIBIWA NA KUKAA KWANGU WENGINE MMESEMA MKE YUKO SAWA NA WENGINE MMESEMA NI MIMI KUONYESHA MSIMAMO,HAYO YOTE NDIO YALLIYO KICHWANI KWANGU.
kwa ujumla nawashukuru sana
MAMA TAYARI YUPO KWANGU NA MATIBABU YANAENDELEA JAPO HAMNA RESPONCE NZURI KWA WIFE