unajua bro what goes around what comes around,,, utakapo kuja kumtendea mzazi wako sio haki ,bealive me,, one kizaz chako kitakuja kukutendea,, kuna watu wanapo kua na familia zao au pale wanapo jiona wako already mature basi wanawaona wazaz wao saa zote wana makosa howcome una msema mama yako kama anataka kukuachanisha na mumeo au mkeo ,, unagundua kua mzazi wako kama fanya makosa tumia njia ya hekma ya kumuelewesha mzazi wako ,, yule sio kusema ovyo ,mzaz anatoa radhi ,, n mke hatoi radhi ,, kusema la haki hakuna mkamilifu, kila mtu ana udhaifu ,but use common sense kumuelewesha wife na ikiwa mama na yy utamuona kfanya wrong pia,but kaa na mama yako,, hakuna mama wawili only one,, naandika sana bcz mm mwanamke but napenda haki,, nishaona hayo mambo,