Mke na mume tumeleta mashtaka kwenu

Kwangu mimi inaweza ikawa suluhisho la kudumu sijui upande wa mwenzangu,nikiachana naye sioi tena mwanamke mwenye mtoto ni wasumbufu sana.
Yeye hajitetei? Afungue ata new ID
 

Daah hiyo sindano mchome polepole asiumie ujumbe mzuri,ila kwenye kupiga si mshauri watu wana magonjwa yao asije akamfia bure
 
Akitoka milembe kapona?

Inakuwaje??
 
Bro si tulielewana single mama hawaolewi, una zaanae tu hukohuko unahudumia, hata akiwa cha wote haina neno lakn unaoa kabisaa,
Pia tulisema tu utaoa kama umeona sheti ya kifo cha baba na umeonyeshwa kaburi vinginevyo pole, sana umekiuka katiba hakuna rangi utaacha kuona sasa
 
Hawaudhurii vikao na wala hawaombi minutes za kikao.. Ona sasa.
 
Unamnyanyasa
 
Lakini Si ni wewe mwwnyewe ulimtuma akamtafute mzazi mwenzie!?
Au nimesoma bila kuelewa!?
 
Wanajua kujieleleza hawa ,hata usipoona kaburi unaweza ukajikuta umeoa ,akikupa mara mbili tatu au zaidi anaanza mikakati ya kukumata umuoe,anaweza akakwambia Jamaa aliugua maradhi ya ajabu chini kumekufa kabisa hakufanyi kazi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanakwambia mbongo usimpe nafasi ya kujielezea awe mwanaume/mwanamke umekwisha
 
Tulishaongea humu kuhusu mtu mwenye mtoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…