Mke: Natafuta mchumba/mke yaani ninahamu kweli ya kumiliki


LD, Mungu halindwi na mabaya au makosa yaliyofanyika nyuma! Na wala njia zake siyo chache! Ikiwa Mungu alimponya mkoma kwa kumwambia aachovye vidole vyake kwenye bahar ile ni wangapi waliponywa kwa mtindo huo? Aliyeponywa akiomba sadaka langoni ni mmoja tu kwani walioomba sadaka ni alikuwa huyo tu? Aliyemkana Yesu ni mmoja tu kwani Yesu alikuwa na wanafunzi wangapi?? Yaliyopita zilikuwa ni njia za Mungu! NIKUPE SIRI UKITAKA KUFANIKIWA MAISHANI ACHANA NA MAMBO YA KUREFLECT KWENYE FAILURE ZA WATU ALIOPITA, JIFUNZE MAISHA YA YESU PEKEE SOMA MATHAYO, YOHANA NK KWA WINGI SANA! Usilazimishe unavyoelewa wewe iende hivyo! IMANI NI KITU KIKUBWA SANA NDIO MAANA UNAAMBIWA ANGALAU UKIWA NAYO TU KAMA CHEMBE YA HARADALI WAWEZA NG;OA MILIMA! NASI TWAONGOZWA KWA IMANI, IMANI YAKO, YANGU NA YULE HAZIWEZI KULINGANA HATA SIKU MOJA SO SIAMINI NA SITAAMINI UNACHOKISEMA ZAIDI YA KUSEMA MUNGU NDIYE KIONGOZI WANGU! HALLELUYAH!
 

LD, dunia wala maisha ya mwanadamu hayaishi kwa kutegemea wala kuangalia ushuhuda wa Petro au watu fulani fulani tunaishi kwa kuongozwa na Roho Mtakatifu ambaye anatenda kazi kwa wakati huu! Wacha kureflect shuhuda hizo no matter unatafuta failure!
 
Ebana eee mwinjilisti ndani ya MMU haya kaka kila la heri wapo wenye upako original na feki kuwa makini kama na wewe upo makini. All the best
Asante Gaga, feki hawatapita kwenye jaribio la kuteketezwa kwa moto bali dhahabu ndio itapia!
 
(Usilazimishe mawazo na fikira zako ziwe published while kila mtu ana filter zake mimi siamini usemacho)
 
Sifa zoote ninazo kasoro ya kwanza ya pili, ya tatu, ya nne, ya tano na ya sita.
Kila la heri mazunguse.
Afadhali zingine zikosekane ila ya ulokole duh hapo maumivu kwelikweli!
 
:A S 13: nilikuwa wapi sikuona hii thread?roho mtakatifu hakunileta JF jana,maybe ningepata.....haya,kila la kheri!!
 
HA HAHAAAAAAA, DADA MICHELLE KWA KUWA HUKUONA LBD NI BAHATI YANGU, ooooooohhhhhhhhhhh!! let me go and try this!!
 
LD, dunia wala maisha ya mwanadamu hayaishi kwa kutegemea wala kuangalia ushuhuda wa Petro au watu fulani fulani tunaishi kwa kuongozwa na Roho Mtakatifu ambaye anatenda kazi kwa wakati huu! Wacha kureflect shuhuda hizo no matter unatafuta failure!

Mi nakubakiliana na wewe!!! Nalazimishwa kuandika mengi kwa sababu tu hunijibu swali langu.
Je ni roho wa Mungu amekushauri/kuongoza uweke tangazo la kutafuta mke hapa?
 

AMENI, mtumishi!!!! Nashukuru nimejifunza na nimekipata kile nilichokuwa nataka nikipate. Kaza Mwendo katika Imani
wala usirudi nyuma. All the best, upate mke mwema wa kweli!!!!
Pokea na hii zawadi hapa!!!


 
Last edited by a moderator:
Mi nakubakiliana na wewe!!! Nalazimishwa kuandika mengi kwa sababu tu hunijibu swali langu.
Je ni roho wa Mungu amekushauri/kuongoza uweke tangazo la kutafuta mke hapa?
Ndio LD
 
AMENI, mtumishi!!!! Nashukuru nimejifunza na nimekipata kile nilichokuwa nataka nikipate. Kaza Mwendo katika Imani
wala usirudi nyuma. All the best, upate mke mwema wa kweli!!!!
Pokea na hii zawadi hapa!!!



Thenkyu
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…