Mke: Natafuta mchumba/mke yaani ninahamu kweli ya kumiliki

Mke: Natafuta mchumba/mke yaani ninahamu kweli ya kumiliki

Ndugu, unataka MKE MWEMA au unataka MKE WA KUSUUZA MOYO WAKO???
Mke mwema aliyetoka kwa Bwana ana Urembo wa Roho Mtakatifu na Neno la Bwana na sio Urembo huu wa kidunia. Au sema wazi unataka awe mrembo wa mapodozi.
Kipindi cha Adamu na Hawa kulikuwa na wanadamu wangapi??? Je ni sahihi kufananisha na kipindi hiki cha wanadamu wengi??

Wapi imeandikwa?
 
Kuna sehemu Yesu alimwambia Petro nenda/rudi nyuma yangu shetani!! Kwani Petro alikuwa shetani??

Kuhusu negative saidi, niruhusu tu niulize hayo maswali. Wakati unahubiri positive saidi acha tujue na upande mwingine wa shilingi....manake shetani pia yupo na watumishi wake wa kike na kiume wapo.....!!!!!

lakini petro hakuwa mtumishi wa shetani kwa tukio lile..ila shetani alimtumia ( quite confusing..)
Lakini Mungu ni mwema..kama mleta hoja anavyosisitiza, mtu mbaya hawezi kupita kwenye chekeche lake la kiroho..sijui ana vigezo gani, lakini anavijua mwenyewe, na wewe mpime kwa vigezo vyako
 
kumbe ni siku zote... lakini ni muhimu watu wakafikiria nyuzi 360. tuondokane na baadhi ya fikra
Nnavyojua ni siku zote!Ila siku nikipingana na wewe unaweza kuona sio kama baadhi wanavyoweza kuona leo!
 
Mara sijui mrembo ni wakusuuzia moyo!Mwenyewe ameshasema anataka atakaeuridhisha moyo wake!Sasa mnataka abebane na mtu asiye mridhisha kisa?Wengine mnauliza kwanini aweke tangazo JF wakati anataka mke mwema!Kwani hao wake wema wanashushwa kutoka mawinguni au wanakutanishwa tu popote?Mnajuaje kama hayupo hapa?Nyie wadada wote mnaokandia hamwezi kua mke mwema kwa mtu?MTAFUTAJI USIKATISHWE MOYO KISA UMEWEKA VIGEZO AMBAVYO HAVIJAWAFURAHISHA!KAMA YUKO HAPA UTAMPATA TU!KILA LA HERI..USISAHAU MAOMBI!

Ha ha ha ha ha
Haya ndio majibu ya Lizzy bana
Kweli sasa nimeamini
 
Lizzy,

Nadhani sifa za anayetafutwa haujasoma zote:


Soma moja moja sasa na kutafakari - Acha jazba![/SIZE]


Hiyo red nilidhani naiona mimi tu, kumbe wapo wengine
Look down and see how she challenges other pipo.


]Mara sijui mrembo ni wakusuuzia moyo![/COLOR]Mwenyewe ameshasema anataka atakaeuridhisha moyo wake!Sasa mnataka abebane na mtu asiye mridhisha kisa?Wengine mnauliza kwanini aweke tangazo JF wakati anataka mke mwema!Kwani hao wake wema wanashushwa kutoka mawinguni au wanakutanishwa tu popote?Mnajuaje kama hayupo hapa?Nyie wadada wote mnaokandia hamwezi kua mke mwema kwa mtu?MTAFUTAJI USIKATISHWE MOYO KISA UMEWEKA VIGEZO AMBAVYO HAVIJAWAFURAHISHA!KAMA YUKO HAPA UTAMPATA TU!KILA LA HERI..USISAHAU MAOMBI!
 
Hiyo red nilidhani naiona mimi tu, kumbe wapo wengine
Look down and see how she challenges other pipo.

Huku nako?Haya kwanzia leo ntakua nafuata mkumbo ili mfurahi!
 
Sifa zoote ninazo kasoro ya kwanza ya pili, ya tatu, ya nne, ya tano na ya sita.
Kila la heri mazunguse.
 
Sifa zoote ninazo kasoro ya kwanza ya pili, ya tatu, ya nne, ya tano na ya sita.
Kila la heri mazunguse.

:yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo:
 
Mazunguse, uchumba unachukua muda gani? Ili mtu ajue akiamua kukusubiri itabidi avumilie muda gani tangu anapoanza na wewe hadi ndoa.

Mazunguse, umesema ngono hakuna hadi ndoa. Mbona utakuwa unakiuka haki yake ya afya ya uzazi? Je utamruhusu Sipiyuu (joke) awe anampatia hiyo haki hadi siku ya ndoa yako?

Mazunguse, umeweka masharti lukuki kwa mwanamke lakini wewe hujajiwekea hata moja.

Mazunguse, umekosaa kabisa kondoo huko kanisani kwako hadi uje kutafuta JF? Kama umeshindwa kuappreciate hata mmoja wa kondoo wako utawezaje wa kwenye kiibodi?
 
Ebana eee mwinjilisti ndani ya MMU haya kaka kila la heri wapo wenye upako original na feki kuwa makini kama na wewe upo makini. All the best
 
lakini petro hakuwa mtumishi wa shetani kwa tukio lile..ila shetani alimtumia ( quite confusing..)
Lakini Mungu ni mwema..kama mleta hoja anavyosisitiza, mtu mbaya hawezi kupita kwenye chekeche lake la kiroho..sijui ana vigezo gani, lakini anavijua mwenyewe, na wewe mpime kwa vigezo vyako

Hakuwa mtumishi wa shetani!! Ndio!! Alitumiwa na shetani ndiyo!! Ingawa alikuwa mtumishi wa Mungu mzuri tu lakini alitumiwa na shetani!!! Ana cheke cheke la rohoni, hebu nambie, amejua je kama hilo chekecheke ni la Kimungu?? Kumbuka Petro hakujua kabisa kama anatumiwa na shetani.....kadhalika hata huyu ana uhakika gani kama kweli Mungu yupo pamoja naye ktk hilo?? Kujiamini ni kuzuri, na Imani nayo ni nzuri, lakini pia biblia inasema Moyo wa Mwanadamu ni Mdanganyifu!!!!
 
Natamani tu kujua!! Mungu si anasema na sisi kwa njia nyingi? Sasa natamani kujua wewe kama mtu wa rohoni umejua je kama kuweka tangazo hapa ni mapenzi ya Mungu!!

Ndugu yangu! Hilo ni swali zuri lakini hunitendei haki mimi kufichua ama kuweka wazi mazungumzo yangu na Mungu wazi peupe! Ila elewa Roho Mtakatifu ndiye anayefanya kazi kwa zamu yake sasa ukiwa naye huyo Roho utaelewa! Sasa nimeanza kuwa na hofu na wewe sijui kweli unaona kitu ndugu yangu moyoni??? make maswali yanazidi kwenda kibinadamu zaidi na hapoa ukienda kibinadamu zaidi hata hutaniona
 
Back
Top Bottom