Mke: Natafuta mchumba/mke yaani ninahamu kweli ya kumiliki

Mke: Natafuta mchumba/mke yaani ninahamu kweli ya kumiliki

Hahahahahaha unanifanya nifurahi sasa! Imeandikwa akija umshinde kwa Neno! si uliona Yesu alivyomshinda shetani? ahahahaha hiyo ni rahisi sana!

Gud!! Kwa hiyo tumekubaliana Amani ya nafsi zetu wenyewe na ibilsi ipo sio?? Cha Muhimu ni kuishinda sio??

Ok!! Naomba niulize hivi umejiandaa vipi kumshinda Ibilisi pale atakapotokea mtu mwenye sifa zote hapo ulizozitaja. Lakini sio mpango wa Mungu umuoe huyo??
 
Gud!! Kwa hiyo tumekubaliana Amani ya nafsi zetu wenyewe na ibilsi ipo sio?? Cha Muhimu ni kuishinda sio??

Ok!! Naomba niulize hivi umejiandaa vipi kumshinda Ibilisi pale atakapotokea mtu mwenye sifa zote hapo ulizozitaja. Lakini sio mpango wa Mungu umuoe huyo??

Naamini haya: Amani ya Mungu ndiyo kuu! shetani hana amani analeta homa ya furaha tu i mean upepo wa furaha tu then baadae anapepesuka! Kuhusu kushinda mimi ni mshindi kama bibilia ilivyosema! Tena ni mshindi sana! 2kor 13:5 Hata siku moja naamini Mungu hatanipa nyoka wakati nimemuomba samaki! Labda nianguke kiroho au nikengeuke niende nje na mapenzi yake! Amen
 
Amina dada LD,
Na wewe Bwana Yesu asifiwe,
Njia za Mungu si njia za wanadamu, mawazo yake ni kutupatia mema sisi waja wake..
Nafikiri nia ya mleta mada ni yeye kupata upendo wa Agape, awe nao nyumbani kwake. lol..

Huyu anatafuta mke, nafikiri Agape love + Romantic love!! Na ndio maana kaweka vigezo vya weupe nk nk...mi ninavyofikiri Agape love ipo tu popote madamu ni binadamu anayeishi na watu duniani. Lakini hicho anachokitafuta hata mimi naweza kuwa na hivyo vigezo vyote, lakini nikawa mtumishi wa Shetani.......!!!!!
 
Naamini haya: Amani ya Mungu ndiyo kuu! shetani hana amani analeta homa ya furaha tu i mean upepo wa furaha tu then baadae anapepesuka! Kuhusu kushinda mimi ni mshindi kama bibilia ilivyosema! Tena ni mshindi sana! 2kor 13:5 Hata siku moja naamini Mungu hatanipa nyoka wakati nimemuomba samaki! Labda nianguke kiroho au nikengeuke niende nje na mapenzi yake! Amen

Amen!!! Kwani umejua je kama ni mapenzi ya Mungu uweke tangazo la kupata mke hapa??
 
Jamani wanaJF,
a) Wanaopenda kukandia karibuni
b) wenye nia njema karibuni saaaana!

Lengo
Natafuta mchumba aliyekamili na tayari kwa ajili ya ndoa Sifa:
i. Mlokole wa kweli
ii. Kati ya 21 hadi 24
iii. Akiwa mweupe ni extra sifa
iv. Awe na shule kuanzia FM4 na kuendelea
v. Awe na kazi/uchumi asiwe golikipa.
vi. Siyo siri napenda awe mrembo tena haswaaaaaaa!
vii. Awe tayari kufahamiana namimi kwa kina NGONO KABLA YA NDOA HAIPO!

Sifa za Zinazopewa kipaumbele.
i. Ulokole wa kweli
ii. Maono ya kumtumikia Mungu
iii. Idea ya kuwa Mama Mchungaji

Nb: Napatikana central Tanganyika! Nami pia najishughulisha na uchumi. Sifa zingine zote nitakupa baada ya kuwasiliana at the first time! Niandikie email: dmadulu@yahoo.com SHETANI HANA NAFASI HATA KAMA NI KWA LIPI, MUNGU MAPENZI
YAKO NA YATIMIZWE!
Dah Kazi kweli kweli..wewe unaangalia urembo au tabia njema.Sifa na vigezo ulivyovitumia hujakaa/fanana kiroho/kilokole kwa upande wako
 
Huyu anatafuta mke, nafikiri Agape love + Romantic love!! Na ndio maana kaweka vigezo vya weupe nk nk...mi ninavyofikiri Agape love ipo tu popote madamu ni binadamu anayeishi na watu duniani. Lakini hicho anachokitafuta hata mimi naweza kuwa na hivyo vigezo vyote, lakini nikawa mtumishi wa Shetani.......!!!!!

Uko sahihi.
Labda nikuulize, kwanini uko sensitive na ubaya? I mean, wengi wetu tuna-focus on the negative side more than on the +ve side. Mungu hajaumba mwanadamu awe mtumishi wa shetani originally.. (hapo kwenye RED, huwezi kuwa two-sides at the same time, labda uwe unapretend).. Kila mtu anapitia mapito, lakini haimaanishi wewe ni mtumishi wa shetani. Tena Mungu anawependa ili warudi kwenye mstari wa kumtumikia yeye..
All the best my dear
 
Huyu anatafuta mke, nafikiri Agape love + Romantic love!! Na ndio maana kaweka vigezo vya weupe nk nk...mi ninavyofikiri Agape love ipo tu popote madamu ni binadamu anayeishi na watu duniani. Lakini hicho anachokitafuta hata mimi naweza kuwa na hivyo vigezo vyote, lakini nikawa mtumishi wa Shetani.......!!!!!
Ukiwa mtumishi wa shetani nakuhakikishia hupiti interview ya rohoni!
 
Dah Kazi kweli kweli..wewe unaangalia urembo au tabia njema.Sifa na vigezo ulivyovitumia hujakaa/fanana kiroho/kilokole kwa upande wako

Akiwa mlokole "more likely" atakuwa na tabia njema. Kwa hiyo jamaa yuko sahihi kabisa.
Alichofanya ni kuongeza sifa nyingine za ziada. Ningekushauri uendelee kushirikiana naye kwenye maombi kuliko kumkatisha tamaa.
 
Uko sahihi.
Labda nikuulize, kwanini uko sensitive na ubaya? I mean, wengi wetu tuna-focus on the negative side more than on the +ve side. Mungu hajaumba mwanadamu awe mtumishi wa shetani originally.. (hapo kwenye RED, huwezi kuwa two-sides at the same time, labda uwe unapretend).. Kila mtu anapitia mapito, lakini haimaanishi wewe ni mtumishi wa shetani. Tena Mungu anawependa ili warudi kwenye mstari wa kumtumikia yeye..
All the best my dear
Mtumishi tusaidiane kuhubiri injili Asante sana!~
 
Lizzy,

Nadhani sifa za anayetafutwa haujasoma zote:


Soma moja moja sasa na kutafakari - Acha jazba!

Sijaona hata moja ya ajabu!Kwani hamna walokole ambao ni wazuri wa sura tena weupe..wenye kazi..waliosoma..katika umri aliotaja..wanaotaka kufahamiana bila kua na mahusiano ya kimwili na ambao kua mama mchungaji kwao sio tatizo!?
 
Sijaona hata moja ya ajabu!Kwani hamna walokole ambao ni wazuri wa sura tena weupe..wenye kazi..waliosoma..katika umri aliotaja..wanaotaka kufahamiana bila kua na mahusiano ya kimwili na ambao kua mama mchungaji kwao sio tatizo!?

Mwambie ukweli! Hawa wanasumbua kweli walishakalili kwa shetani ndo kuna kila kitu!
 
Mtumishi tusaidiane kuhubiri injili Asante sana!~

Nigongee thanks basi....lol!! usikate tamaa. kama unaamini kile unachokifanya basi una kibali mbele za muumba wako.
Ukipata muda utajisomea Romans 14:22b
"Blessed is the man who does not condemn himself by what he approves" NIV
 
Dah Kazi kweli kweli..wewe unaangalia urembo au tabia njema.Sifa na vigezo ulivyovitumia hujakaa/fanana kiroho/kilokole kwa upande wako

Kwani kua mlokole ina maana hana macho na moyo wakuridhisha?Kila mtu kuna vitu anavyohitaji kwa mke/mume..mlokole or not nafsi inatakiwa kuridhika ili moyo upende jumla!
 
Dah Kazi kweli kweli..wewe unaangalia urembo au tabia njema.Sifa na vigezo ulivyovitumia hujakaa/fanana kiroho/kilokole kwa upande wako
Kila unachosema na kufikiri ni haki machoni pako lakini uamzi ndio uliotukifikisha hapa leo nao ulifanywa na mtu 1 tu! Hawa kula tunda
 
Nakutakia kila la heri Mazunguse...Bwana akupe haya ya moyo wako. Cha muhimu maombi zaidi...maana kwenye mtandao wanaweza kujitokeza wengi na wamevaa ngozi ya kondoo!
Barikiwa.
 
kuna swali najiuliza kila siku sipati jibu ila naona jambo hili linajirudiarudia kila siku,hivi kwa maisha yetu tunayoishi tumefikia hatua hii ya kutafuta wenza kwenye mitandao au kuna kilichojificha nyuma ya pazia:rain:

Kila kitu kinawezekana. Kuna njia nyingi tu za wapendanao kukutana. Ujio wa internet umewezesha wale wanaojificha nyuma ya PC, na laptops wapate wapendwa wao. Ni mapenzi ya Mungu kabisa, ikiwezekana na kwa wakati sahihi mtu apate asali wake wa moyo. Haijalishi watakutana darasani, kwenye daladala au sokoni au facebook
 
Amen!!! Kwani umejua je kama ni mapenzi ya Mungu uweke tangazo la kupata mke hapa??

Jaman mambo mengine ni ya mtu na Mungu unafikiri nikufafanuliaje ndugu yangu juu ya swali hili? kama mpaka tunaulizana na njia ambazo ni mtu na Mungu! unanifurahisha!
 
Back
Top Bottom