Mke sio ndugu yako, siku ukifa, kwenda jela hata ndoa ikivunjika anaweza kupata mume mwengine lakini wanao na ndugu hawawezi kukubadili

Mke sio ndugu yako, siku ukifa, kwenda jela hata ndoa ikivunjika anaweza kupata mume mwengine lakini wanao na ndugu hawawezi kukubadili

Mke au Mume ni zaidi ya Ndugu kiprotokali.

Ndio mtu pekee ambaye kwa hiyari yako unamchagua.

Hata hivyo kwenye ulimwengu wa kitapelitapeli usije ukajimix wakakuyash
 
Kichwa cha habari kirefu kushinda content!, there must be something happened to you!..😅
 
Hamjafika hata miaka 20 kwenye ndoa unapata wapi ujasiri huu wa kumpa mkeo hadhi ya undugu ?

KWENU MLIOJISAHAU, TUNAKUMBUSHANA TU.
Kujua kwamba mke sio ndugu yako ni kwamba anaweza kuvumilia umasikini wa Baba yake na shida zote, ila hawezi kuvumilia umasikini wa mme wake eti aishi kwa tabu na shida ata sepa tu au atakutanganza kwa ndgu jama na marafiki.
 
Mke au Mume ni zaidi ya Ndugu kiprotokali.

Ndio mtu pekee ambaye kwa hiyari yako unamchagua.

Hata hivyo kwenye ulimwengu wa kitapelitapeli usije ukajimix wakakuyash
20250308_045213.jpg

Kwamba?
 
Kama walivyo wake za baba zenu vivyo hivyo na wake zenu walivyo
 
Kujua kwamba mke sio ndugu yako ni kwamba anaweza kuvumilia umasikini wa Baba yake na shida zote, ila hawezi kuvumilia umasikini wa mme wake eti aishi kwa tabu na shida ata sepa tu au atakutanganza kwa ndgu jama na marafiki.
Umetisha ndugu 👏👏
 
Back
Top Bottom