Amos David Mathias
JF-Expert Member
- Sep 3, 2022
- 1,576
- 3,094
Wanawake wengi wa sasahivi wamekuwa ni pasua kichwa katika familia zao.Wanafanya mambo ambayo yanachochea UGOMVI na chuki Kila mara.
Hawana heshima Kwa Waume zao sababu hawajui thamani ya mume.Hawataki kujitiisha mbele za Waume zao na kuwaheshimu Bali wanataka wawatawale hali ambayo inazua taharuki na tafarani katika ndoa.
Ndiyo maana asilimia 98.9 ya wanawake wanaenda Kwa waganga Ili wawaroge Waume zao Ili wawatawale na kuwapelekesha kama mazezeta. Sijui niseme Wanawake wamesahau majukumu Yao katika ndoa ya kuwa wasaidizi wa mwanaume ikiwemo kufanya kazi ya nyumbani na kuwalea watoto Badala yake wamekimbilia majukumu ya mwanaume ya kutawala na kuiongoza familia.
Nataka niseme tu hakuna mwanamke mwenye uwezo wa kuiongoza familia Kwa ufanisi kama mwanaume.Familia nyingi zinazoongozwa na mke huku mume yupo zimeishia pabaya sababu wameruhusu mpango wa shetani katika familia wa mwanamke kushikilia usukani wa kumtawala mwanaume.
Ifikie hatua wanawake mjitambue mrudi kwenye asili yenu ya kweli ya kuwa wasaidizi wa Waume zenu na sio kutaka kuwa kama wao.Tatizo linaanzia pale mwanamke mjinga anapotaka kujilinganisha na mwanaume na kuacha uanamke wake.
Biblia inakataza Mwanamke kumtawala au kumfundisha mwanaume.Hii ni dhambi na mwanaume anayeruhusu kutawaliwa na mwanamke katika familia naye ashiriki katika hii dhambi pia.
Someni 1 Timotheo 2:12mpaka 13 .
Wanawake watapendeza ikiwa hawatakuwa watu wa kupayuka payuka na kuwapigia makele wanaume wao Bali itakuwa vyema na kupendeza ikiwa watakuwa watulivu na wenye heshima katika ndoa zao.Wawe na busara katika namna ya kuwaendea Waume zao yanapotokea matatizo wasiwapigie makelele Wala kuwapayukia au kuwa uchungu katika mioyo Yao Bali wayatatue wakiwa wapole na wanyenyekevu .
Hawana heshima Kwa Waume zao sababu hawajui thamani ya mume.Hawataki kujitiisha mbele za Waume zao na kuwaheshimu Bali wanataka wawatawale hali ambayo inazua taharuki na tafarani katika ndoa.
Ndiyo maana asilimia 98.9 ya wanawake wanaenda Kwa waganga Ili wawaroge Waume zao Ili wawatawale na kuwapelekesha kama mazezeta. Sijui niseme Wanawake wamesahau majukumu Yao katika ndoa ya kuwa wasaidizi wa mwanaume ikiwemo kufanya kazi ya nyumbani na kuwalea watoto Badala yake wamekimbilia majukumu ya mwanaume ya kutawala na kuiongoza familia.
Nataka niseme tu hakuna mwanamke mwenye uwezo wa kuiongoza familia Kwa ufanisi kama mwanaume.Familia nyingi zinazoongozwa na mke huku mume yupo zimeishia pabaya sababu wameruhusu mpango wa shetani katika familia wa mwanamke kushikilia usukani wa kumtawala mwanaume.
Ifikie hatua wanawake mjitambue mrudi kwenye asili yenu ya kweli ya kuwa wasaidizi wa Waume zenu na sio kutaka kuwa kama wao.Tatizo linaanzia pale mwanamke mjinga anapotaka kujilinganisha na mwanaume na kuacha uanamke wake.
Biblia inakataza Mwanamke kumtawala au kumfundisha mwanaume.Hii ni dhambi na mwanaume anayeruhusu kutawaliwa na mwanamke katika familia naye ashiriki katika hii dhambi pia.
Someni 1 Timotheo 2:12mpaka 13 .
Wanawake watapendeza ikiwa hawatakuwa watu wa kupayuka payuka na kuwapigia makele wanaume wao Bali itakuwa vyema na kupendeza ikiwa watakuwa watulivu na wenye heshima katika ndoa zao.Wawe na busara katika namna ya kuwaendea Waume zao yanapotokea matatizo wasiwapigie makelele Wala kuwapayukia au kuwa uchungu katika mioyo Yao Bali wayatatue wakiwa wapole na wanyenyekevu .