Dah!...vijana nendeni taratibu na kwa tahadhari.tia saini hati ya talaka umpe uhuru mkeo amechoka na umalaya wako, mkia wako unachovya kila shimo atakuvumiliaje?
View attachment 2665760
Sasa Bi Amina alijua angemtuliza Kiba? Thubutuuu, mwanaume mwenyewe mbegu mkononi.
Naye Kiba akome, watu wakiambiwa waoe wanaofanana nao utamaduni wanaleta ujuaji....wanawake wa Pwani hawajui kutulia kwa mume, kutwa kiguu na njia kwao, Yani mke kwenda kukaa kwao miezi mitatu bila sababu ni kawaida🤣🤣🤣 na ukipeleka kesi kwao wanakushangaa🤣Yeye angeplay part yake km mke, mengine angemuachia mwenyewe Kiba….. Yule super star alafu bado ana miwasho!! Angekituliza tu!
Alijua Kiba km wanaume wa Mombasa [emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣Dawa ya mume wa hivo unakaba hadi kivuli, unampa Hadi unampa tena, Yani akienda huko nje akakojoe upepo tu, sheeendhi🤣🤣🤣🤣🤣
dah nimedinda kweli kweliYani akienda huko nje akakojoe upepo tu
Tatizo sisi wanaume haturidhikagi na mbususu moja.Dawa ya mume wa hivo unakaba hadi kivuli, unampa Hadi unampa tena, Yani akienda huko nje akakojoe upepo tu, sheeendhi🤣🤣🤣🤣🤣
Funga mlango ujilipue cha fasta Mwenyekiti🤣dah nimedinda kweli kweli
NAKAZIA HAPAkuna kamanzi kamekuwa kananipa sana utelezi lakini nishaanza kukachoka yaani mzuka niliokua nao mwanzoni na sasa tofauti
nishaacha 😅 , mwenyekiti ni mshamba_hachekwi sasaFunga mlango ujilipue cha fasta Mwenyekiti🤣
Ile haina ukomo Bwa Sheikh .... ni alfa na omegaUkomo wa mkataba wa bandari ni lini...?
Mm juzi nimewaskia Radioni wako na InterviewHizi habari za Kiba kuachana na mke wake ni za kitambo zilianza ila baadae nikaja kuona ana mtoto mwingine na Kiba
Hilo la Kiba kuwa na mbususu huko ni suala tarajiwa, as Amina alimkuta ana baby mama wa kumwaga....hakutakiwa kuwa na wivu, alitakiwa amcontrol apunguze.Tatizo sisi wanaume haturidhikagi na mbususu moja.
Nikupe mfano mimi sina mke, nina wiki 3 kuna kamanzi kamekuwa kananipa sana utelezi lakini nishaanza kukachoka yaani mzuka niliokua nao mwanzoni na sasa tofauti
Wanaune hatujawahi kuridhika na mbususu moja sio kwamba hatuwapendi ni tamaa tu
wanaume tulishaga failIla ndoa za distane zinashida sana.
Kuna nyuzi nyingi humu jf wanaume waliooa wanalalamika hawapewi mbususu kwa wakati. Kuna jamaa tangu 2016 hajapewa utamu. Mkishaolewa huwa mnabadilika sanaWewe kwa sababu huna mke, Ila ukiwa nae utapunguza huko nje.....asubuhi unapewa, ukirudi unapewa.