Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu tulikesha kufuatilia harusi, Kwa kweli wavumiliane tu....Ila Kaka akitoa talaka kaisha🤣 Wakenya wajanja wajanja[emoji2][emoji2][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]natamani wanirudishie muda wangu kenge Hawa
Wanaachana vipi Kwa mfanooo
Tatizo Lao tukiwapa hawasimulii, tukiwanyima kidogo ndo kesi Hadi polisi🤣🤣🤣Duuh kwahiyo kumbe kuwapa waume zenu kila siku mnaweza, sasa haya malalamiko yao ya kwamba wananyimwa sana kwa visingizio vya kuchoka yanatoka wapi, au ndio makusudi tu
Alikiba sio Kama Yule binamu yako wa kule Ngudu, huyu ni superstar, maisha yake yanatuhusu, Yani tunahusika....na wambea tunayafuatilia kuliko maisha yetu binafsi🤣🤣🤣Ayo ni maisha binafsi ayakuhusu jifunze
Akome na yeye Kwani bongo hakuna wanawakeWatu tulikesha kufuatilia harusi, Kwa kweli wavumiliane tu....Ila Kaka akitoa talaka kaisha[emoji1787] Wakenya wajanja wajanja
Basi umefurah mwenyewe🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
😅 😅 huyo anko, na kuzo wake Joe NavarroBasi umefurah mwenyewe
Hao sio wa kuwalegezea, maana wakipata ushindi wanaweka viatu kwenye friji😅 😅 huyo anko, na kuzo wake Joe Navarro
kwa kukinukisha kama viza dk 0 hawakawii
ila wewe unawezaruka nao
kama Zubeda mke wa Prof J au ?viatu kwenye friji
Zubeda amewahi kuweka viatu kwenye friji? Na kwaninikama Zubeda mke wa Prof J au ?
Zubeda amewahi kuweka viatu kwenye friji? Na kwanini
Hayakuhusu.tia saini hati ya talaka umpe uhuru mkeo amechoka na umalaya wako, mkia wako unachovya kila shimo atakuvumiliaje?
View attachment 2665760
Daaah,, sijawahi kuwaza kama hii kitu ipo. Mi huwa nasema tu
Kumbe mwatuita Zubedakama Zubeda mke wa Prof J au ?