Mke wa asili ya Pemba anahitajika

Sio rahisi kuwapata humu.Nakushauri uwafuate huko huko Pemba.
 
Kama upo serious kuna mchepuko wangu wa Kipemba ngoja ntamshawishi akutafute,ana 27 yrs na pia ni nurse kwenye Public Hospital moja.!
 
Mleta uzi na Udini ulio jificha
 
I’m on the way
We ain't got no time to waste
Popping your gum on the way
Am I in the way?
I don't want to pressure you none
I want your blessing today
Oh by the way, open the door by the way
Told you that I'm on the way
I'm on the way, I know connection is vague
Pick up the phone for me babe
Dammit, we jammin'
 
Unataka nini kwa mke mwingine wakati ushaoa kwani huyo hakuridhishi ndugu utamu ni uleule utaleta magpnjwa buree
 
Mpalestina unataka mke wapili wanini?
Kwani wa kwanza hana k***m
 
Kwahiyo wewe msaada wako ni kwa wapemba tu! Kwa kuwa ndio wenye shida nyingi au?
Kusaidia hakuna mipaka, wanawake wote wana shida kwa hiyo kuchagua eneo la kusiadia hakuna tatizo, hivi mtu akiamua kwenda kuwasaidia maskini wa mkoa wa Kigoma utamhoji kwa nini asiende mkoa wa Mbeya,

Hoja ni kuwasaidia sasa kwa nini kundi fulani si hoja ya msingi
 
Wacha blabla sheikh. Saidia walio karibu yako kwanza kabla ya kuwafikia wa mbali. Anyway, kamata boti nenda wesha vilipokuwa vinu vya umeme uchukue jiko shehe!
 
Wacha blabla sheikh. Saidia walio karibu yako kwanza kabla ya kuwafikia wa mbali. Anyway, kamata boti nenda wesha vilipokuwa vinu vya umeme uchukue jiko shehe!
HAHAHAHAAHAH UMENIFURAHISHA SANA, LAKINI SI UNAOA UNAEMPENDA NDUGU, NDIVYO MTUME S.A.W ALIVYOTUELEKEZA, MIE NAWAPENDA WANAWAKE WA KIPEMBA, HAWA WENGINE NIMESHAOA, NINA WANAWAKE WA KIBARA WAWILI HIVYO ANATAKIWA MPEMBA, THEN MWARABU, HAPO NIMEMALIZA
 
HAHAHAHAAHAH UMENIFURAHISHA SANA, LAKINI SI UNAOA UNAEMPENDA NDUGU, NDIVYO MTUME S.A.W ALIVYOTUELEKEZA, MIE NAWAPENDA WANAWAKE WA KIPEMBA, HAWA WENGINE NIMESHAOA, NINA WANAWAKE WA KIBARA WAWILI HIVYO ANATAKIWA MPEMBA, THEN MWARABU, HAPO NIMEMALIZA
We unataka muarabu halafu awe Mpemba, nenda Muscat kama ni hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…