Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,769
- 16,799
Hahahaaaaaa!!!!Huwa hawajifichi mkuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaaaa!!!!Huwa hawajifichi mkuu!
Sio rahisi kuwapata humu.Nakushauri uwafuate huko huko Pemba.Nahitaji mwanamke wa kipemba kwa ajili ya kuoa, mie tayari nipo kwenye ndoa hivyo nahitaji ambaye yupo tayari kuingia kwenye ndoa ya wake wengi, sifa zake
Awe mweupe sio mweusi
Awe muislam metekelezaji
Awe na umri usiozidi miaka 30
Awe na elimu yoyote, lakini awe tayari kutofanya kazi maofisini kwenye michanganyiko na wanaume
Akiwa ni Mwalimu au Daktari/Nesi haina shida japokuwa ofisi anayofanyia kazi lazima iwe na mazingira ya nidhamu na heshima
Yeyote ambaye yupo tayari tuwasiliane kwa email hamenyam@yahoo.com au ani PM. Kama una ndugu au rafiki au jirani ana sifa hizo pia nitaarifu
Kwa iyo sifa ya mweupe ..ni bora aende wete..mkuuKimbia chapu hapo Wete au Chakechake ujipatie jiko
Mleta uzi na Udini ulio jifichaNahitaji mwanamke wa kipemba kwa ajili ya kuoa, mie tayari nipo kwenye ndoa hivyo nahitaji ambaye yupo tayari kuingia kwenye ndoa ya wake wengi, sifa zake
Awe mweupe sio mweusi
Awe muislam metekelezaji
Awe na umri usiozidi miaka 30
Awe na elimu yoyote, lakini awe tayari kutofanya kazi maofisini kwenye michanganyiko na wanaume
Akiwa ni Mwalimu au Daktari/Nesi haina shida japokuwa ofisi anayofanyia kazi lazima iwe na mazingira ya nidhamu na heshima
Yeyote ambaye yupo tayari tuwasiliane kwa email hamenyam@yahoo.com au ani PM. Kama una ndugu au rafiki au jirani ana sifa hizo pia nitaarifu
Huwa wanapatikana hapa jukwaani ?Ngoja waje utapata tu.
Shiling ngap za kitanzaniaKimbia chapu hapo Wete au Chakechake ujipatie jiko
Duh, kuwa na mke zaidi ya mmoja ni kuwasaidia wanawake zaidiUnataka nini kwa mke mwingine wakati ushaoa kwani huyo hakuridhishi ndugu utamu ni uleule utaleta magpnjwa buree
Kwahiyo wewe msaada wako ni kwa wapemba tu! Kwa kuwa ndio wenye shida nyingi au?Duh, kuwa na mke zaidi ya mmoja ni kuwasaidia wanawake zaidi
Kusaidia hakuna mipaka, wanawake wote wana shida kwa hiyo kuchagua eneo la kusiadia hakuna tatizo, hivi mtu akiamua kwenda kuwasaidia maskini wa mkoa wa Kigoma utamhoji kwa nini asiende mkoa wa Mbeya,Kwahiyo wewe msaada wako ni kwa wapemba tu! Kwa kuwa ndio wenye shida nyingi au?
Wacha blabla sheikh. Saidia walio karibu yako kwanza kabla ya kuwafikia wa mbali. Anyway, kamata boti nenda wesha vilipokuwa vinu vya umeme uchukue jiko shehe!Kusaidia hakuna mipaka, wanawake wote wana shida kwa hiyo kuchagua eneo la kusiadia hakuna tatizo, hivi mtu akiamua kwenda kuwasaidia maskini wa mkoa wa Kigoma utamhoji kwa nini asiende mkoa wa Mbeya,
Hoja ni kuwasaidia sasa kwa nini kundi fulani si hoja ya msingi
HAHAHAHAAHAH UMENIFURAHISHA SANA, LAKINI SI UNAOA UNAEMPENDA NDUGU, NDIVYO MTUME S.A.W ALIVYOTUELEKEZA, MIE NAWAPENDA WANAWAKE WA KIPEMBA, HAWA WENGINE NIMESHAOA, NINA WANAWAKE WA KIBARA WAWILI HIVYO ANATAKIWA MPEMBA, THEN MWARABU, HAPO NIMEMALIZAWacha blabla sheikh. Saidia walio karibu yako kwanza kabla ya kuwafikia wa mbali. Anyway, kamata boti nenda wesha vilipokuwa vinu vya umeme uchukue jiko shehe!
We unataka muarabu halafu awe Mpemba, nenda Muscat kama ni hivyo.HAHAHAHAAHAH UMENIFURAHISHA SANA, LAKINI SI UNAOA UNAEMPENDA NDUGU, NDIVYO MTUME S.A.W ALIVYOTUELEKEZA, MIE NAWAPENDA WANAWAKE WA KIPEMBA, HAWA WENGINE NIMESHAOA, NINA WANAWAKE WA KIBARA WAWILI HIVYO ANATAKIWA MPEMBA, THEN MWARABU, HAPO NIMEMALIZA
We utakuwa si muislam ndio maana umeshindwa kuyaelewa hayo manenoWe unataka muarabu halafu awe Mpemba, nenda Muscat kama ni hivyo.
Test kwa fingure, ukiona imekatiza bila kelele na ubishi, peleka Dushe,Sasa mkuu nyuma atajuaje kama zishafeli au bado??