Sorry Mkuu...huo ni Mwanya ama Pengo?View attachment 1091059
Ni mtu mzima!!
Mwanya!!Sorry Mkuu...huo ni Mwanya ama Pengo?
Hapana Nakataa. Gape likishavuka Sentimita kadhaa litakua ni Pengo!Mwanya!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwani anawachaguliaga naniOh sikuwa namfahamu baada kuona video ile nilitamani nimuone mkewe
Wanaume sisi wake zetu kama tumesusiwa ila michepuko sasa acha kabisa kama hanyi au hali
Heee....wenzetu mnajua mpaka chumbani kwa Gwajima?
Wapo ambao hawacheatHakuna mwanaume ambaye ha cheat. Sema tu hatukamatwi.
Watumishi wanakutana na vikwazo vingi sana. Sio watumishi wa Tanzania tu ni Africa nzima
HAKUNA MWANAUME MWENYE MWANAMKE MMOJA.wanaume tusithubutu kumnyoshea kidole askofu
Mimi sicheat poa.Wapo ambao hawacheat
Wewe umeshakiri kwamba unacheat na wala sijakuuliza kama unacheat au haucheat. Ninachojua wanaume ambao hawacheat kwa sababu yoyote ile wapo, hata kama wako wawili Africa nzima suala ni wapoMimi sicheat poa.
1)Baba Askofu ni Msukuma,wanawake nje ya ndoa kawauda Sana.Ni wivu tu Baba askofu ni rijali
Wewe umeshakiri kwamba unacheat na wala sijakuuliza kama unacheat au haucheat. Ninachojua wanaume ambao hawacheat kwa sababu yoyote ile wapo, hata kama wako wawili Africa nzima suala ni wapo
wacha porojo mkuu, mbona ule mto waonekana na chapa ya kutambulisha ni hotel hiviYes.. Nyumba nzima ya gwajiboy naijua.
Labda awe hasimamishi khanisiWapo
aiseeWapo
Wewe grow up bana, kila mtu anakosea kuvumiliana ndo jambo la msingi, bila uvumilivu utaacha wangapi?The only "suluhu " ni grace ku prove kwamb she's strong.. Anawez kuachana Na gwajima and still akalea watoto wake vzr...
Wanawake wa kiafrika hapo ndo wanapo fail
Wanakosewa heshima hadharani, wanaletewa magonjwa ndani ya nyumba only tu kwakuw kaolewa bus anatikiwa avumilie kwajili ya watoto na Mali..
Wanaacha kuji value Kwanz "put your self as a priority "