Mke wa Askofu Gwajima umevumilia mengi, “it's time to go”

Hujaona kifaa alichokuwa anakinyunyizia protini naona. Pale namuunga mkono baba askofu... tatizo kabinti kenyewe hakajui kutoa ushirikiano mpk ikamkazibu baba askofu akakatikie ndombolo ya solo...
Takwiu zangu naona watu wenye wake wazuri ndio wanao ongoza kuchepuka
 
Ila mama grace anafaidi lol..maana Gwajiboy ana mauno hatari
 

Wewe ndiye unayempangilia mambo yake? Kwani wewe ndiye uliyemwambia akubali kuolewa na Gwajima?

Mwenye maamuzi ni huyo Grace na si vinginevyo.

Pambana na hali yako, achana na mambo ya ndoa za watu
 
Gwajiboy baada ya kuona anaumbuka, akampasia Daud, na kuna siku Mbasha alisema, niliemuoa nimemkosa, aliemzalisha mtoto wa pili kamkosa, kaolewa na mwingine.
Utakuwa unasema ukweli mwasu,Insta kila anachopost Gwajiboy, daudi anasifia sana na like nyingi
 
Mwenyewe mwenye mume ameweza kuvumilia wewe unateseka nini
 
Ila wanaume aseeee!
Siyo wote dada yangu. Haya matatizo ya ku cheat kwa kiwango kikubwa yapo Africa kwa wingi sana. Sijaelewa sababu ni nini. Kwenye civilized society, the woman is one, and that woman is your wife.
 
Siyo wote dada yangu. Haya matatizo ya ku cheat kwa kiwango kikubwa yapo Africa kwa wingi sana. Sijaelewa sababu ni nini. Kwenye civilized society, the woman is one, and that woman is your wife.
Ni kweli sio wote, ila ndio hivyo kama ulivyosema ni wengi
 
SAWA unamwambia GRACE aasi dini, aachane na mme wake wa ndoa kwa HAYO Makosa ya MMEWE, GRACE SIO MPUMBAVU NA MJINGA KIASI HICHO.

Pili Grace akiondoka UNATAKA UOLEWE WEWE? ili uvumilie maana yeye hasitahili kuvumilia.

UJINGA WAKO NI MWINGI KULIKO MAJI YA BAHARI ZOTE.

GRACE kuna raha na taabu, misalaba na mvinyo. PAMBANIA NDOA YAKO KWA HEKIMA HADI MWISHO

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…